Watu milioni 50 wameshakufa mpaka leo hii tangu mwaka uanze

Watu milioni 50 wameshakufa mpaka leo hii tangu mwaka uanze

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Watu laki moja na nusu (150,000) hufa kila siku hapa duniani, watu 6300 hufa kila dakika hapa duniani, na kwa mwaka hufa zaidi ya watu milioni 50.
 
Watu laki moja na nusu ( 150 00) hufa kila siku hapa Duniani, watu 6 300 hufa kila dakika hapa Duniani, na kwa mwaka hufa zaidi ya watu milioni 50,
Na kuna mwingine alipigwa risasi 30+ na wasiopenda kukosolewa lakini hakufa, kweli Mungu hashindwi na ni muweza yote!
 
Watu laki moja na nusu ( 150 00) hufa kila siku hapa Duniani, watu 6 300 hufa kila dakika hapa Duniani, na kwa mwaka hufa zaidi ya watu milioni 50,
Kwahyo kila mwaka kuna kanchi kanapotea maana hiyo idadi ni wastani wa population ya nchi kabisa
 
Kweli kabisa kwahyo dunia ina zero pupolation growth kwa sasa idadi ya wanokufa inakaribiana na idadi ya wanaozaliwa.. [emoji3][emoji3]
Na kuna zaid ya nchi inazaliwa
 
Back
Top Bottom