every cent has the highest value for me hata ingekuwa tsh 100 ningeisubiria I will show the return na hautaaminiKwahyo hapo ulipo unasubilia 1000.!??
0682362310 and 0757932324 thank you all the return and investment will be shown hereGood idea weka namba mpesa tigopesa Na mitandao mingine
Bt mrejesho muhimu tuone jinsi ambavyo vijana wanawezapata ajira pia ...nakusaidiana kwa ujumla kama watanzania kwa umoja na mshikamano wao kufikia finencial freedom ...karibu mkuu nipo kuonyesha ushirikiano juu ya hili.
kila topic inayohusu pesa hupata views za kutosha hili litabadili maisha ya watu wengi asante mnaondelea kutumaKwa wazo lako ni kuwa huu uzi uwe viewed na kusomwa na kuridhiwa kushiriki na JF members wote,which is impossible.
sina lengo hiloUje utupande kichwani?
Wamechanga wangapi hadi muda huu?
Huna akili ndo mana,100 mara milioni unapata hiyo 900?100,0000,000 mbona mimi napata hivi