Watu milioni moja wanavyoweza kusaidia ukaitwa bilionea

Kwa wazo lako ni kuwa huu uzi uwe viewed na kusomwa na kuridhiwa kushiriki na JF members wote,which is impossible.
 
Good idea weka namba mpesa tigopesa Na mitandao mingine
Bt mrejesho muhimu tuone jinsi ambavyo vijana wanawezapata ajira pia ...nakusaidiana kwa ujumla kama watanzania kwa umoja na mshikamano wao kufikia finencial freedom ...karibu mkuu nipo kuonyesha ushirikiano juu ya hili.
 
0682362310 and 0757932324 thank you all the return and investment will be shown here
 
Kwa wazo lako ni kuwa huu uzi uwe viewed na kusomwa na kuridhiwa kushiriki na JF members wote,which is impossible.
kila topic inayohusu pesa hupata views za kutosha hili litabadili maisha ya watu wengi asante mnaondelea kutuma
 
Umetisha mukuu,,mi nshakutumia ya memba 100 yani Tsh 100,000 [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli JPM anakazi sana kubadilisha mitazamo ya watu kutoka kwenye uvivu mpaka kuwa wachapakazi.
Yaani uandike NNE tu, then watu wachange uwe billionaire !!
[emoji84] [emoji84] [emoji84]
 
Nishakutumia Mkuu. Namba yangu inaishia na 815. Kukiwa na masalio weekend hii nakutumia tena
 
Sio kirahisi ivyo...utaambiwa Yakhe ushalipiwa weye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…