Santasente
New Member
- Apr 17, 2023
- 2
- 0
Habarini za mchana wapendwa
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza naomba watu watambue wajibu wao sio kila kitu serikali sasa mtu anakomaa eti serikali itoe tamko kuhusu ushoga utazani serikali ndio imewatunzia vinyeo vyao hii watu wawape watoto wao malezi bora na wao wajilinde ili wasijihusishe ma ivyo vitendo naona mara sijui waisilamu wanaandamana kupinga ivi kwanini tusiwe tuna andama ivyo kupinga ufisadi kwasababu ndio una athari kubwa kwa wananchi wote Tanzania kichwa cha mwendawazimu.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza naomba watu watambue wajibu wao sio kila kitu serikali sasa mtu anakomaa eti serikali itoe tamko kuhusu ushoga utazani serikali ndio imewatunzia vinyeo vyao hii watu wawape watoto wao malezi bora na wao wajilinde ili wasijihusishe ma ivyo vitendo naona mara sijui waisilamu wanaandamana kupinga ivi kwanini tusiwe tuna andama ivyo kupinga ufisadi kwasababu ndio una athari kubwa kwa wananchi wote Tanzania kichwa cha mwendawazimu.