Ebu sema vizuri tukuelewe, tatizo nini??Kuna watu kwenye maisha watakuumiza alafu wataanza kukulaumu wewe kuwa umewaumiza 🥴
Uandishi ni kipaji, na pia huhitaji utulivu ili kumfanya msomaji aeleweEbu sema vizuri tukuelewe, tatizo nini??
Maana hapa umeandika kana kwamba kila mtu yupo ndani ya ufamahu wako na anajua kile unacho kifikiria.
AahaaaaKaachwa mtu tayari hapo
Kwa hiyo mmeumizana sivyo? 😳 Kaeni chini ninyi wenyewe kwanza myazungumze na myamalize.Ikishindikana tafuteni wazee wawashauri, ikishindikana waendeeni washauri wa kiimani ikishindikana tena hapo basi kila mmoja aelekee kivyake - mmoja Mashariki na mwingine Magharibi kwa amani. Hakuna cha fimbo, bisibisi wala risasi. Poleni sana.Kuna watu kwenye maisha watakuumiza halafu wataanza kukulaumu wewe kuwa umewaumiza 🥴
Naunga mkono hoja. Tena atakujazia na makorokoro kibao. Hiyo Iliandikwa toka zamani zaidi ya miaka 2000 iliyopita kwamba ' Ishini nao kwa akili".Hao ndo wanawake... anakwambia tuachane ...mkiachana anasema wewe umemuacha humpendi...
Hukuwa na nia....
Nanukuu: "Siku zote mwanzilishi haonekani anamakosa ila mmaliziaji ndio huonekana mmbaya".Siku zote mwanzilishi haonekani anamakosa ila mmaliziaji ndio huonekana mmbaya.
Jitahidi kusimamia kile unachokiamini na kutotikisika kama mlima sayuni🙏
Kabisa mkuuNanukuu: "Siku zote mwanzilishi haonekani anamakosa ila mmaliziaji ndio huonekana mmbaya".
Ndiyo. Tena andiko lingine lasema "Ashikwaye na ngozi ndiye mwizi"