Watu ninaotamani kuwaona na kuwafahamu japo kidogo tu

Mtumsafi

Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
90
Reaction score
65
Husika na kichwa cha habarini hapo juu.

Nikiwa memba wa JF tangu 2012 lakini kwasababu zisizoelezeka nikapoteza nywila ya kitambulisho changu cha awali,ikabidi tena nijisajili mwaka 2015, sasa basi kuna wanajamii ya humu natamani sana kuwaona wakizungumza tu ili nifurahi.

GENTAMYCINE.
Galadudu,
Kaboom,
Uncle Ben,
Nyani Ngabu,
misschaga,
Nifah,
Preta,
lara 1 my fav ,
Copenhagen,
mshana jr

Watajwa hapo juu ni baadhi tu, huwa wana majibu yaliyotukuka, hunisaidia sana katika swala la kuhimili hasira (anger management).Hata nikinuna Dar mpaka Lusaka,huwa nafurahishwa na comments za humu ndani.

Naomba kuwasilisha.

[emoji8] [emoji120]
 
Patience123,Pasco,msemaji ukweli na Evelyn salt.Aisee hawa watu ni muhimu sana humu JF.
 
Jaman mi #mentor tu! avatar yake ni ya adabu sijajua tabia,.
 
jamani afande kifimbo nipo pout of list mh ngoja niangalie wapi nimeanguka
 
GENTAMYCINE . Galadudu , Kaboom , UncleBen , Nyani Ngabu , miss chaga , Nifah , Preta , lara 1 my fav , Copenhagen , mshana jr Watajwa hapo juu ni baadhi tu,ia
huwa wana majibu
yaonyaliyotukuka, hunisaidia sana
katika swala la kuhimili hasira
(anger management).... Ht
nikinuna dar mpaka Lusaka,huwa nafurahishwa na comments za
humu ndani.
Naomba kuwasilisha. Report Like Reply

mtzmweusi - Today at 4:54 AM

Yani mi sipo lol hata mwekundu
The Boss etc Report Like Reply

kanali mstaafu - Today at 5:07 AM Mi nampendaga Nifah Report Like Reply

Patience123 - Today at 5:09 AM

Mimi nikikutana na majibu ya Evelyn Salt, UncleBen na msem basi siku yangu huwa njema.
 

Akhsante Mkuu Kwa Kuonyesha Nia Kuwa Unatamani Unifahamu au Unijue Kwani Nilikuwa Sijajua Kama Nina Umuhimu Huo Kwako au Kwa Wengine. Karibu Sana Kwangu Mkoani GISENYI Nchini Rwanda Uje Kunywa Maziwa Na Asali. Nisalimie Mno Huko Kwenu Tanzania Na Sijui Ni Lini Nitakuja Tena Baada Ya Kutoka Huko Miaka 11 Iliyopita!
 
Kwa hiyo mkuu unataka tuonane wapi ili tufahamiane hata kdg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…