Watu tunatoka mbali sana katika harakati za kutafuta maisha

Watu tunatoka mbali sana katika harakati za kutafuta maisha

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ndugu zangu kwa sisi tulikulia katika familia za kimasikini huwa tunapitia mateso mengi sana hadi kufikia ndoto zetu.

Hiyo picha hapo chini, ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri sana hapa nchini, ukiitizama kwa makini unaona ni jinsi gani binadamu tunatoka mbali katika hali ya kujitafutia maisha.


23AFFDFB-ECCA-453F-B20C-94FBF79E9699.jpeg
 
Huyu ni Mbowe wakati akiwa Bilicanas bado hajawa Mwenyekiti wa Chadema wakati huo..!!
 
Wapinzani wengi ni wanafiki.. Bahati mbaya watu wengi hawataki kuliamini hili. Watu wanaangalia mchele babu shtukeni.
 
Back
Top Bottom