watu wa ACCOUNTING nisaidieni

saidry

Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
86
Reaction score
5
How do managers decide whether the cost is direct or indirect cost.....
NAOMBENI MSAADA,NASOMA MANAGERIAL ACCOUNTING SEMESTER HII AFU NIMEKUTANA NA HYO...MSAADA WA POINTS TAFADHALI
 
How do managers decide whether the cost is direct or indirect cost.....
NAOMBENI MSAADA,NASOMA MANAGERIAL ACCOUNTING SEMESTER HII AFU NIMEKUTANA NA HYO...MSAADA WA POINTS TAFADHALI

Yaani mwanafunzi unataka utajiwe majibu wakati hyo assignment unatakiwa uwe library umatafuta.........hyo ni field yangu na nilisoma hayo madude kwenye cost a/c 2!!!
 
Yaani mwanafunzi unataka utajiwe majibu wakati hyo assignment unatakiwa uwe library umatafuta.........hyo ni field yangu na nilisoma hayo madude kwenye cost a/c 2!!!

hahahaaa!! huyu dogo namkumbuka sana! enzi walipokuwa wana apply alikuwa akilia sana na course zenye hesabu!

sasa kakumbana na managerial accounting first semister,

bado sana ana mizinga mingi ya finance, economics, planning, marketing, procurement (angalau hii kidogo), pamoja na mikwaju mingineyo mingi!!

you cant imagine, hivi hivi ndivyo watu wanavyo disco kimzaha tu!

cc .. saidry
 
Last edited by a moderator:
Yaani mwanafunzi unataka utajiwe majibu wakati hyo assignment unatakiwa uwe library umatafuta.........hyo ni field yangu na nilisoma hayo madude kwenye cost a/c 2!!!

We huna kitu kwani jf hawezi pata msaada hata hiyo field uliifanyia magumashi
 
We huna kitu kwani jf hawezi pata msaada hata hiyo field uliifanyia magumashi

Acha ujinga wako ww.....hili jukwaa la elimu sio kufanyia wanafunz assignment zao,halafu hilo neno field lilivyotumika na interpretation yko nmeweza kujua kilichomo kichwani.
Vyuoni kuna library na km aliweza kuja jf bas anaweza kugogle......atafanyaje reference ktk assignment yke km anataka tu kutajiwa majibu?????
 

Akutane na mziki wa Tax,IF,Contempo na FR
 
Last edited by a moderator:
How do managers decide whether the cost is direct or indirect cost.....
NAOMBENI MSAADA,NASOMA MANAGERIAL ACCOUNTING SEMESTER HII AFU NIMEKUTANA NA HYO...MSAADA WA POINTS TAFADHALI

Unasoma chuo gani?
 
google kama ilivyo, yaani 'How do managers decide whether the cost is direct or indirect cost' majibu yote yatakuja
 

jamiii forum...humu ndani kuna wa ajabu sana.....mtu ameomba msaada mtu mwingine anamjibu kashaa......daa watanzania ndo maana wengi hamuendelei...mna roho ya kwanini
 

jamiii forum...humu ndani kuna wa ajabu sana.....mtu ameomba msaada mtu mwingine anamjibu kashaa......daa watanzania ndo maana wengi hamuendelei...mna roho ya kwanini

Aliyemfundisha kubrowse jf nani????anashindwa ku google jaman????hivi nini maana yakuwa mwanafunz???kila mtu akija na assignment zake humu itakuwa balaa!!!

Hata kwenda library napo shida???ndio maana hata kwenye soko la ajira tunashindwa kuCompete,spoon feedng kwa mwanafunz haikubaliki kabisa.
 
poa...nashkuru kwa majibu yenu wote....najua ukimkimbiza chiz aliechukua nguo zako wakat we mwnyw upo uchi...wewe ndo utaonekana chizi..........
liitwe jukwaa la majungu na cyo jukwaa la wasomi,,,sa mtu anakwambia "namkumbuka sana aliku analia khs hesabu",,,,jaman ktk mifumo yote ya elimu kila mtu ana somo lake ambalo ni utata....unaeza ukawa mtaalam xana wa hesabu lakini masomo yenye maelezo huyawez....
group limekuepo ili tuelimishane mambo mbali mbali ya kielimu,,,sijaomba kufanyiwa swali ila mwongozo tu...kwan huko nlikopitia mlikua mnanifanyia nyie maswali??????mmekua mwili afu akili matope
 

We dogo bado sana, hebu piga book acha ujinga. Kata shule fuata ushauri wa Miss Strong.....ukibadili atitude utafika mbali lakini ukiendelea hivi you gona go nowhere.
 
Tafuta broad meaning ya direct and indirect cost ndani yake kuna majibu na yako wazi
 
Tafuta broad meaning ya direct and indirect cost ndani yake kuna majibu na yako wazi

Ni kweli mkuu umeniwahi kidogo, na mimi nilitaka nimwambie hivyo hivyo. Kama hajui jibu la swali lake maana yake hata definition ya direct and indirect cost haijui.

Tiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…