GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Treni ya Kwanza nchini ilianzia kule Kisiwani Zanzibar mwaka 1879
Treni ya Kwanza Bara ilianza mwaka 1893
Treni ya Kwanza ya TRC ilianza mwaka 1907 kutoka Dar hadi Morogoro kisha mwaka 1909 kutoka Morogoro hadi Mwanza na mwaka 1914 kutoka Mwanza hadi Kigoma
Haya wale Watu ambao mnapenda Historia kama Mimi GENTAMYCINE kuweni nayo hii na wapeni Watoto wenu.
Haya yote hii ni kwa mujibu ya Simulizi Maalum ya Historia kabisa ya Reli nchini Tanzania kutoka TBC1 muda si mrefu.
Treni ya Kwanza Bara ilianza mwaka 1893
Treni ya Kwanza ya TRC ilianza mwaka 1907 kutoka Dar hadi Morogoro kisha mwaka 1909 kutoka Morogoro hadi Mwanza na mwaka 1914 kutoka Mwanza hadi Kigoma
Haya wale Watu ambao mnapenda Historia kama Mimi GENTAMYCINE kuweni nayo hii na wapeni Watoto wenu.
Haya yote hii ni kwa mujibu ya Simulizi Maalum ya Historia kabisa ya Reli nchini Tanzania kutoka TBC1 muda si mrefu.