Watu wa CCM wakitoa hoja za kupinga Muungano wanashangilia, nongwa ni pale anapotoa hoja Mpinzani hata bubu atapayuka. Unafiki Mtupu

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Ni mambo ya ajabu hiki chama cha kuendekeza ufisadi na uongo.

Kuna kasoro nyingi sana za muungano, lakini jambo la ajabu ni kuwa kasoro hizo zikizungumzwa na kiongozi wa CCM basi anashangiliwa hadi wabunge wanataka kupanda juu ya meza.

Ila hoja hizohizo zikiongewa na Mbowe au Lissu mpaka kina Kinana watatoka mafichoni kuja kumwaga hoja pointless mpaka aibu.

Huu unafiki utaisha lini?
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa sababu tumezoea upinzani wanapinga kila kitu kiwe kizuri au kibaya.
 
NDO MAAJABU YA CCM NA VIBARAKA WAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…