Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well, ila nilitegemea utatoa kwanza sababu ndipo uje na #Lawama ila cha ajabu umeanza na lawama baada ya kutoa sababu.Unasema ?
It will take time to understand this.Well, ila nilitegemea utatoa kwanza sababu ndipo uje na #Lawama ila cha ajabu umeanza na lawama baada ya kutoa sababu.
[emoji419]MWISHO... Inawezekana watu wa dar wakapenda wageni ila sio kama mgeni aina Yako, mda mwingine walalamikao wengi wao huwa ndo chanzo cha Tatizo.
[emoji419]Jitathmin labda wew ndo chanzo cha tatzo na ukawapa watu wa Dar sifa mby, wakati hakuna watu smart kama wa mkoa huo pendwa[emoji173].
Wageni wengi ni wachawi, wabakaji nkTuache utani watu wa Dar
Wengi hawapendi wageni kabisa
Tuache utani watu wa Dar
Wengi hawapendi wageni kabisa
Tatizo wageni ni wambeyaTuache utani watu wa Dar
Wengi hawapendi wageni kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dar maisha ni magumu sana, mtu anakaa chumba kimoja kama kuku atahitaji mgeni kweli? Watu wengi dar wanatafuta hela kwa ajili ya gheto, mavazi, chakula na starehe tu, wengi maendeleo wanayasikia kwenye TV tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una hakiba na hiki usemacho?Tuache utani watu wa Dar wengi hawapendi wageni kabisa
Una hakiba na hiki usemacho?Tuache utani watu wa Dar wengi hawapendi wageni kabisa
Nyumba tunaishi kulingana na idadi ya watoto wetu.Tuache utani watu wa Dar wengi hawapendi wageni kabisa