Watu wa Dar

cqq

Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
39
Reaction score
57
Watu wa dar bwana,,,,,,,, kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia karibu saaaaaaaaaaaaaaaaaana kaka ukija usiachie kunitafuta[emoji23]

Ukifika ukimpigia kwanza anakuuliza uko wapi[emoji51]unamwambia nipo Kawe,,,,,,,,,, utasikia nipo Kibaha kuna issue nashughulikia ntakucheki kesho [emoji135]ndo hutampata hewani tena [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ukimpigia sim kumwambia kesho nasepa utasikia mbona fasta kaka sema umekuja bahati mbaya sasahivi nipo taiti,,,,,,,, yaaani wote sound zao ni hizo hizo utazani mwalimu wao mmoja [emoji53][emoji53]

Halafu wao wakija huku wanapopaita mkoani anataka uwe nyuma yake masaa 24/7 mtadhani mnatafuta wadhamini [emoji58][emoji58]stori zake sasa [emoji51][emoji51]

Huku mkoani mnaishije hamna mzunguko wa hela kabisa *** nyoo dar ungekua wote mnamzunguuko wa pesa si wote mngekuwa kama baressa,,,,, acheni hizo bhana mnatukera sisi watu wakuja [emoji108]
 
Hahahahahaaaa.
Ukweli mtupu huo
 
Reactions: THT
Kweli hii imewahi kumtokea msela angu mmoja..

Jamaa yupo daslam latika kuchat na msela yupo moshi basi akamwambia njoo dar acha kukaa kiboya huko. Jamaa akawa hana nauli ila akajipiga piga kwa kufanya vibarua akapata nauli akawasiliana na mshkaji akamwambia 'nakuja' jamaa nae akajibu 'poa nitakupokea ubungo' mshkaji akiwa njiani anampa updates tu kuwa niko sehemu flani

Kufika ubungo basi hata simu ya mwenyeji ilikuwa haipatikani, wasamaria wakamsaidia pakulala, kesho yake nayo hola, basi akafanyiwa usamaria akarudi kwao moshi.

Ewe mtu wa mkoani asikudanganye mtu ambae hana kazi rasmi akudanganye njoo dar wakati na wewe hupajui wala huna option B na C. Utaghafirika
 
Kuishi Dar Mwisho Mwezi wa Saba soon Tunakuja Huko kolomije yetu
 
Kaka naona unalilia kuja mjini ! Etii


Ha ha inauma sana watu kuamini kupitia mafuta
 
Baressa[emoji777]
Bakhresa[emoji818]
 
Umesema mulemule
Sent using Jamii Forums mobile app
 
umenikumbusha nikiwa form 2,ndugu wa Dar akaja kijijini akaomba matokeo yangu akakuta nipo position ya 3 kati ya watu 130. akajifanya sponsor likizo ijayo aje Dar tuisheni msimpe nauli ya kurudia.
manina tuisheni sikusoma na nauli ilibidi nikaombe kwa ndugu mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…