Watu wa GQ mko?

Mr Kayanza kanifurahisha ule mchuzi mix kaacha kuvaa,hii suti yako katoka safi tena hii sio ya mafundi wa kushonesha vibarazani.


Ok ok na mwanamama waziri mkuu wa umachinga katoka safi na kikuku mguuni.
 

Attachments

  • pinda_moza.JPG
    21.2 KB · Views: 346
Ex NBA Julius Erving na Jazze Pha..
GT, are you with me? What d'you think?

 
Puffy naye kwa mbwembwe..Mapasnaa sometimes inategemea na nini iko hapo kushoto....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…