barcelonista
Senior Member
- Apr 26, 2021
- 158
- 149
Wakuu kwema?
Watu wa Hip-Hop ebu tukutane hapa kidogo,,,Hivi ni versi gani kali ya Hip-Hop hapa Bongo uliwahi kuisikia mpaka ukasema yes hii ni versi bora kabisa kuwahi kuisikia hadi leo huchoki kuisikiliza,,,
Kwangu mm versi yangu bora ya muda wote alifanya Albert Mangwea kwenye ngoma inaitwa Msela,,,Aliwatesa sana Juma Nature na KR. Bonge la ngoma beat moja hatari mno...
Ngwea aliflow sana,akaitesa sana beat alichana kuhusu life huko mitaani,haso n.k
Nimekuwekea hapa chini hiyo Versi na Audio yenyewe,,,Nambie ww mdau Versi gani ya Hip hop hadi leo huichoki.
R.i.p CowBama....
Yo! Uh
Watu tumeshadata na hili ghetto Life style
Shati back (?) na u-Nelly wa X-Plastaz (What?)
Hey' Dark Master ntembezee chata
Kisha nipe kipaza nihubiri kama pastor
Ndani ya ghetto ni mengi yashatukuta
Lakini' masela bado tunakomaa kutafuta
Bado tunazisaka' hata kwenye vichaka
Mtafutaji hachoki, akichoka ndo ameshapata
Japo sometimes kile kitu unachopata, Ni'
Tofauti kabisa na kile hasa unachotaka
Ila' Mwanaume lazima tu ujifunze kuridhika
Kwani ukichagua sana hukawii kutoka kapa
Duniani wote hatuwezi kuwa sawa
Na ndo maana wapinzani wa jadi mnapagawa (Yeah)
Kama nipo juu 'Ni juu (Uh-Huh)
Ningoje chini, au nifate juu uvunjike guu
Ma Supastaa tuna ng'aa kwa pamba tunazo vaa
Zinaficha njaa
Ila tunapo kaa wengine nyumba ya udongo' nyasi
Mlango wa gunia (Uh-Huh)
Ndani hakuna kikombe, mwiko wala sufuria
Zaidi ya kiberiti tu na kipande cha mkeka
Na nikisha kula (..Ishh! ) 'mambo yangu naya weka
Wala sioni hatari kula Dona Dagaa
Siku nyingine hawa Jogoo nao wanalala na njaa
Na usione tumepinda 'Migongo
Ukadhani' ni vibiongo
Pengine ni ufupi tu wa mlango
We endelea kula bia, Acha mi nkapate Gongo
Ili mradi wote tuwe stimu' ndio life ya kibongo ( Msela!
Watu wa Hip-Hop ebu tukutane hapa kidogo,,,Hivi ni versi gani kali ya Hip-Hop hapa Bongo uliwahi kuisikia mpaka ukasema yes hii ni versi bora kabisa kuwahi kuisikia hadi leo huchoki kuisikiliza,,,
Kwangu mm versi yangu bora ya muda wote alifanya Albert Mangwea kwenye ngoma inaitwa Msela,,,Aliwatesa sana Juma Nature na KR. Bonge la ngoma beat moja hatari mno...
Ngwea aliflow sana,akaitesa sana beat alichana kuhusu life huko mitaani,haso n.k
Nimekuwekea hapa chini hiyo Versi na Audio yenyewe,,,Nambie ww mdau Versi gani ya Hip hop hadi leo huichoki.
R.i.p CowBama....
Yo! Uh
Watu tumeshadata na hili ghetto Life style
Shati back (?) na u-Nelly wa X-Plastaz (What?)
Hey' Dark Master ntembezee chata
Kisha nipe kipaza nihubiri kama pastor
Ndani ya ghetto ni mengi yashatukuta
Lakini' masela bado tunakomaa kutafuta
Bado tunazisaka' hata kwenye vichaka
Mtafutaji hachoki, akichoka ndo ameshapata
Japo sometimes kile kitu unachopata, Ni'
Tofauti kabisa na kile hasa unachotaka
Ila' Mwanaume lazima tu ujifunze kuridhika
Kwani ukichagua sana hukawii kutoka kapa
Duniani wote hatuwezi kuwa sawa
Na ndo maana wapinzani wa jadi mnapagawa (Yeah)
Kama nipo juu 'Ni juu (Uh-Huh)
Ningoje chini, au nifate juu uvunjike guu
Ma Supastaa tuna ng'aa kwa pamba tunazo vaa
Zinaficha njaa
Ila tunapo kaa wengine nyumba ya udongo' nyasi
Mlango wa gunia (Uh-Huh)
Ndani hakuna kikombe, mwiko wala sufuria
Zaidi ya kiberiti tu na kipande cha mkeka
Na nikisha kula (..Ishh! ) 'mambo yangu naya weka
Wala sioni hatari kula Dona Dagaa
Siku nyingine hawa Jogoo nao wanalala na njaa
Na usione tumepinda 'Migongo
Ukadhani' ni vibiongo
Pengine ni ufupi tu wa mlango
We endelea kula bia, Acha mi nkapate Gongo
Ili mradi wote tuwe stimu' ndio life ya kibongo ( Msela!