Watu wa Historia tuambieni wakoloni walioasisi utumwa Afrika Mashariki

Watu wa Historia tuambieni wakoloni walioasisi utumwa Afrika Mashariki

Utumwa hapa Afrika Mashariki ulianza zamani sana karne ya saba hivi kipindi hiko Wapersian wakija kufanya biashara hivyo waliwachukua baadhi ya waafrika wenye nguvu na kuwapeleka huko Mashariki ya kati kwa ajili ya kufanya shughuli za majumbani
Lakini biashara ilikuja kuanza kuchanganya zaidi baada ya shughuli za uzalishaji kuanzishwa huko visiwa vya Carribean na kule Mauritius hapo ndipo ikaanza biashara ya utumwa karne ya 13 kama sijakosea......kumbuka huko nyuma ulikuwa ni utumwa haikuwa biashara na hapo hao waarabu walokuwa wakija kipindi hiko kufanya biashara ndio wakawa maagent wa kuwanunu watumwa toka vijijini na kwenda kuwauza kwa wazungu

Nimejaribu kidogo hapo ndugu yangu,ngoja waje wajuzi zaidi watujuze!!
 
Katika pitapita zangu kwenye vitabu vya historia sijawahi kukutana na kitu kama ulichokiandika hapa. Yaani ni mchanganyiko wa mambo! Ingewezekana ningekushauri ufute hii thread, urudi kupekua upya vitabu, ndipo ulete mada yako ikiwa imeandikwa kwa mtiririko unaoeleweka.
 
Kuna dhana mabili bado nahisi umezichanganya na ambazo zimewachanganya wachangiaji. hebu weka wazi unakusudia "utumwa" au "biashara ya utumwa." Tuanzie hapo Mkuu.
 
Hakuna wakoloni walioasisi utumwa afrika mashariki au labda usaidiwe namna ya kuweka swali lako vizuri
 
Back
Top Bottom