Watu wa kamera wa Azam mliyoko karibu na uwanja kuna swali hapa

jombaa askari

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
494
Reaction score
530
Hivi ikitokea kocha au wachezaji wakatoa lugha ya matusi na Watanzania wakalisikia ni nani ndiye atakaewajibika?

Kwanini msiweke mic off mnapowakaribia hapo uwanjani?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hivi ikitokea kocha au wachezaji wakatoa lugha ya matusi na watanzania wakalisikia ni nani ndie atakaewajibika?

Kwa nini msiweke mic off mnapowakaribia hapo uwanjani

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kwa nini atoe lugha ya matusi na anaona camera zimemwelekea?
Hii itakuwa ni maksudi na ni kosa lazima aliyetoa matusi aadhibiwe

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini atoe lugha ya matusi na anaona camera zimemwelekea?
Hii itakuwa ni maksudi na ni kosa lazima aliyetoa matusi aadhibiwe

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Inaweza kutokea kwa mazoea...... km mazoezini huwa mnatoleana lugha chafu basi ipo siku mmoja atamwambia mwenzake.... mfano "Acha us×#ge wewe toa pasi mapema" na camera ipo jirani lazima itaskika tu

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Kama Mexime hua anamatusi balaa siku moja nlimsikia anasema [emoji2788] kaza matako wewe mtoto wa kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…