Nimejiuliza sana mpk nikawauliza why wamedumu muda mrefu wakati kuna wenzao ndoa zao zipo chali…
Ninapokaa nipo kwa wazazi, mtaani tumezungukwa na wazaramo wengi na wagogo
Kuna majirani zetu ambao ni Kama familia sasa tumewakuta na wao ndio walisimamia mpk ujenzi wa nyumba yetu kukamilika hivyo walitupokea… sasa huyu jirani yetu ana watoto wakike na kiume, wenginee ni wa kuwazaa mwenyewe wenginee ni watoto wa ndugu zake ambao wamelelewa hapo mpk kujitegemea
Mtoto wake wa kwanza alipomaliza 4m4 akahozeshwa na mwanaume ambae alikuwa jirani yetu ila bi dada hakuwa hakimpenda huyo kaka wakaachana ndoa ikiwa na wiki mbili bibie akidai jamaa jogoo hapandi mtungi,, hakuchukua hata muda akaoana na mwanaume aliekuwa akimtaka yeye mpk leo wapo mtoto wao wa kwanza yupo darasa la 5 miaka 10 ina maana ndoa yao ina miaka 11… na hapo walioana wadogowadogo yaani bi dada anaweza kuwa wa 94 na huyo kijana havuki 92
Mtoto wa pili nae alioana na kijana mmoja hawakulast wakaachana, huyu aliozeshwa alipovunja ungo akiwa anatolewa mwali siku ile ile na ndoa juu.. alibahatika kuzaa na huyo kijana mtoto mmoja. Ameshaolewaga na mtu mwingine ambae yeye alikuwa anamtaka mtoto wao wa kwanza yupo na miaka 9 na ndoa yao ina miaka 9
Wa tatu nae ndoa yake ina Miaka 10 yeye ameolewa na huyohuyo mpk Leo
Sasa ni nini sababu ya hao watu kudumu sana kwenye ndoa ni sababu ya umaskini au wanawake kuwapenda wanaume kuliko wanaume zao wanavyowapenda
Kinachonishangaza hawa watu wameona wakiwa watoto sana imagine binti ana miaka14 kijana Miaka 18 ila mpk Leo wapo pamoja wanadunda na wameoana ndoa za kiislam kabisa
Ninapokaa nipo kwa wazazi, mtaani tumezungukwa na wazaramo wengi na wagogo
Kuna majirani zetu ambao ni Kama familia sasa tumewakuta na wao ndio walisimamia mpk ujenzi wa nyumba yetu kukamilika hivyo walitupokea… sasa huyu jirani yetu ana watoto wakike na kiume, wenginee ni wa kuwazaa mwenyewe wenginee ni watoto wa ndugu zake ambao wamelelewa hapo mpk kujitegemea
Mtoto wake wa kwanza alipomaliza 4m4 akahozeshwa na mwanaume ambae alikuwa jirani yetu ila bi dada hakuwa hakimpenda huyo kaka wakaachana ndoa ikiwa na wiki mbili bibie akidai jamaa jogoo hapandi mtungi,, hakuchukua hata muda akaoana na mwanaume aliekuwa akimtaka yeye mpk leo wapo mtoto wao wa kwanza yupo darasa la 5 miaka 10 ina maana ndoa yao ina miaka 11… na hapo walioana wadogowadogo yaani bi dada anaweza kuwa wa 94 na huyo kijana havuki 92
Mtoto wa pili nae alioana na kijana mmoja hawakulast wakaachana, huyu aliozeshwa alipovunja ungo akiwa anatolewa mwali siku ile ile na ndoa juu.. alibahatika kuzaa na huyo kijana mtoto mmoja. Ameshaolewaga na mtu mwingine ambae yeye alikuwa anamtaka mtoto wao wa kwanza yupo na miaka 9 na ndoa yao ina miaka 9
Wa tatu nae ndoa yake ina Miaka 10 yeye ameolewa na huyohuyo mpk Leo
Sasa ni nini sababu ya hao watu kudumu sana kwenye ndoa ni sababu ya umaskini au wanawake kuwapenda wanaume kuliko wanaume zao wanavyowapenda
Kinachonishangaza hawa watu wameona wakiwa watoto sana imagine binti ana miaka14 kijana Miaka 18 ila mpk Leo wapo pamoja wanadunda na wameoana ndoa za kiislam kabisa