Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 589
- 1,897
Uku mtaani Kuna mtu wa mamla ameibiwa, Sasa kimetembezwa kichapo Jana.
Mmh kwa wajuzi mnaojua Mambo hao Jamaa wakiibiwa ndo mwendo wa kutudunda makabwela,
Au Ndio washika mpini na mshika makali.
Duuu Duniani Kuna shida Kinoma.
Daaa Kuna Watu wanaishi kwa Raha Ila sisi wengine tunasindikiza wanaoishi.
Kwa kichapo nilichokiona mtu akichwapwa.
"Usiamini ktk sheria, wapo watu wapo Juu ya sheria na wanaweza kufanya watakalo popote na mda wowote"
Mmh kwa wajuzi mnaojua Mambo hao Jamaa wakiibiwa ndo mwendo wa kutudunda makabwela,
Au Ndio washika mpini na mshika makali.
Duuu Duniani Kuna shida Kinoma.
Daaa Kuna Watu wanaishi kwa Raha Ila sisi wengine tunasindikiza wanaoishi.
Kwa kichapo nilichokiona mtu akichwapwa.
"Usiamini ktk sheria, wapo watu wapo Juu ya sheria na wanaweza kufanya watakalo popote na mda wowote"