Watu wa Mamlaka ( Above the Law)

Watu wa Mamlaka ( Above the Law)

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Uku mtaani Kuna mtu wa mamla ameibiwa, Sasa kimetembezwa kichapo Jana.
Mmh kwa wajuzi mnaojua Mambo hao Jamaa wakiibiwa ndo mwendo wa kutudunda makabwela,
Au Ndio washika mpini na mshika makali.
Duuu Duniani Kuna shida Kinoma.
Daaa Kuna Watu wanaishi kwa Raha Ila sisi wengine tunasindikiza wanaoishi.
Kwa kichapo nilichokiona mtu akichwapwa.
"Usiamini ktk sheria, wapo watu wapo Juu ya sheria na wanaweza kufanya watakalo popote na mda wowote"
 
Uku mtaani Kuna mtu wa mamla ameibiwa, Sasa kimetembezwa kichapo Jana.
Mmh kwa wajuzi mnaojua Mambo hao Jamaa wakiibiwa ndo mwendo wa kutudunda makabwela,
Au Ndio washika mpini na mshika makali.
Duuu Duniani Kuna shida Kinoma.
Daaa Kuna Watu wanaishi kwa Raha Ila sisi wengine tunasindikiza wanaoishi.
Kwa kichapo nilichokiona mtu akichwapwa.
"Usiamini ktk sheria, wapo watu wapo Juu ya sheria na wanaweza kufanya watakalo popote na mda wowote"
Kwanini muwaibie watu wanaotafuta vyao vya halali Kwa jasho na damu? Utanijibu kwanini watembeze kichapo mtaa mzima ilihali sio wote walioshiriki kumuibia?
Jibu ni kwamba, mtaa unaoshiriki kuwaficha wahalifu nao ni sehemu ya uhalifu kwahiyo wanapaswa kulipia gharama pia.
Siungi mkono vitendo vya kujichukulia Sheria mkononi, Ila ni vyema jamii ikaacha kufumbia macho uhalifu na wahalifu Kwa kutoa taarifa Kwa mamlaka husika kwaajili ya kuchukua hatua stahiki.
 
Kwanini muwaibie watu wanaotafuta vyao vya halali Kwa jasho na damu? Utanijibu kwanini watembeze kichapo mtaa mzima ilihali sio wote walioshiriki kumuibia?
Jibu ni kwamba, mtaa unaoshiriki kuwaficha wahalifu nao ni sehemu ya uhalifu kwahiyo wanapaswa kulipia gharama pia.
Siungi mkono vitendo vya kujichukulia Sheria mkononi, Ila ni vyema jamii ikaacha kufumbia macho uhalifu na wahalifu Kwa kutoa taarifa Kwa mamlaka husika kwaajili ya kuchukua hatua stahiki.
 
Okey ushauri wako, nimeipata Ila waza wapita Njia waliokua wanapigwa, nao pia wanakosa.
Kumbuka Kuna Watu wanatoka Nyumbani saa 11 Alfajiri wanarudi saa 3 usiku kutoka makazini watakua wanayajua yanayoendelea.
Naomba Tukio Kama Hilo litokee mtaani kwako Tuone Naomi yako.
 
Back
Top Bottom