ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ujinga na ushamba.Mnahusudu Mabasi kuliko Usafari wa ndegehatuwezi kuacha
Wana husudu Mabasi kuliko Usafari wa ndegeIla watu wa huko ni washamba knoma.
Niliwahi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura nikiwa Mbeya, sasa kwenye foleni raia wanaongea jinsi watakavyokitunza hicho kitambulisho π yn ni vichekesho tuu
Hatuwezi kuacha hiyo ni kamali mbwa wewe,si tunapiga hela we unaleta unaa
HiYo tabia sio mbeya tu miji yote ya Barabarani hasa mafinga ,makambako na mbeya watu hadi wanabeti sema kidogo saiz wamepunguza baada ya kuruhisu saa 24Mambo ya ushabiki na ulimbukeni wa Ligi za Mabasi upo sana Mkoa wa Mbeya Sasa sijajua tatizo Huwa ni nini hasa?
Mbona mambo ya ushabiki wa Ligi za Mabasi haupo Mikoa mingine isipokuwa Mbeya tuu? Acheni Ushamba.
View attachment 2927324
Mbeya....Mbeya....ila wenyewe wanajiona wajanja kweli watoto wa Town yaani.Mambo ya ushabiki na ulimbukeni wa Ligi za Mabasi upo sana Mkoa wa Mbeya Sasa sijajua tatizo Huwa ni nini hasa?
Mbona mambo ya ushabiki wa Ligi za Mabasi haupo Mikoa mingine isipokuwa Mbeya tuu? Acheni Ushamba.
View attachment 2927324