Watu wa mikoa gani ni wavivu wa shughuli za kilimo?

Watu wa mikoa gani ni wavivu wa shughuli za kilimo?

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Nimenunua shamba, nataka vijana wawili wachapakazi.
Je ni makabila gani nisiwachukue ili plans zangu zisifeli?
Na je watu wa mikoa ipi watanifaa zaidi?
 
Wakulima hodari ni wasukuma, wajita na wakurya ni wazuri sana kama una mradi wa ufugaji wa kuku, ila ni wakorofi sana hawakawii kukupiga panga. Wanyamwezi ni wakulima wazuri mwanzoni, ila akipata tu mwanamke anatelekeza shamba na kuhamia kwa mwanamke.
Wasafwa, waandali, wamalila na watu wa Rukwa na lringa pia ni hodari.
Wagogo ni wezi sana na wwavivu. Wazaramo maneno mengi, mizinga mingi, ngoma kwa sana na kazi hawafanyi, utakuta shamba limegeuka msitu.
 
Huna haja ya kuuliza watu wa mikoa gani wakulimie! Cha msingi wewe kama unajeuri ya fedha nunua power tillers ambazo utaendesha wewe mwenyewe na ndugu zako!
 
Wa pwani noma sana. Wanapenda kucheza ngoma na ule 'mchezo'.
 
We alikozaliwa presda wako (pwani) usitie nyayo,huko ni wataalamu wa mipasho,mdundiko na ka mchezo ka baba na mama...
 
Wakulima hodari ni wasukuma, wajita na wakurya ni wazuri sana kama una mradi wa ufugaji wa kuku, ila ni wakorofi sana hawakawii kukupiga panga. Wanyamwezi ni wakulima wazuri mwanzoni, ila akipata tu mwanamke anatelekeza shamba na kuhamia kwa mwanamke.
Wasafwa, waandali, wamalila na watu wa Rukwa na lringa pia ni hodari.
Wagogo ni wezi sana na wwavivu. Wazaramo maneno mengi, mizinga mingi, ngoma kwa sana na kazi hawafanyi, utakuta shamba limegeuka msitu.

Kaka wakikujua itakuwa kazi kwelikweli
 
Back
Top Bottom