Acha ushambenga, watu wa mikoani ndiyo nini. Sema we ndio hujui.Badilikeni watu wa mikoani yani mtu kitu kimoja unataka bei ya jumla.
Maana ya jumla ni mzigo mkubwa ambao unanunua kwenye duka la jumla sio la rejareja.
Hii tabia inazidi kukua sana
Sijui sisi wa mikoa tumemkosea nini aisee π²Acha ushambenga, watu wa mikoani ndiyo nini. Sema we ndio hujui.
Naona imekugusa mkuu.. But Ngoja nikwambie jambo mkuu... Jiji la Dsm limejaa wajanja wengi wanapiga mishe mchana na usiku kutafta pesa na wengi wanaofanya hayo ni watu wa mikoani Amini kwamba... Na hamna watu washamba kama wazawa wa dar na Pwani.. Hamna kitu yani... kkoo pote pale wanapiga mishe ni watu wa nje ya Jiji.. Uyo mwenyw alietoa posti sio mzawa wa dar ni wamkoani lkn hajitambui anachosema.. But wapo wapo wakioni ambao ni washamba lakin sio woteAcha ushambenga, watu wa mikoani ndiyo nini. Sema we ndio hujui.
Kilaza huyo alitaka watu wajue nae ametoka DarisalamaSijui sisi wa mikoa tumemkosea nini aisee [emoji44]
Wewe wateja wako ni type ipi?Badilikeni watu wa mikoani yani mtu kitu kimoja unataka bei ya jumla.
Maana ya jumla ni mzigo mkubwa ambao unanunua kwenye duka la jumla sio la rejareja.
Hii tabia inazidi kukua sana