Watu wa Pwani ni rahisi kuwa addicts? Kwanini wao wana uraibu mkubwa wa vilevi kuliko miji ya Nairobi, Meru, Kisumu, Nakuru, n.k?

Watu wa Pwani ni rahisi kuwa addicts? Kwanini wao wana uraibu mkubwa wa vilevi kuliko miji ya Nairobi, Meru, Kisumu, Nakuru, n.k?

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Dear Kenyans, tunahitaji ufafanuzi

Kinacchoendelea kwa sasa Kenya naona kwenye TV na Mitandaoni mkoa ya Coast ikiongozwa na Mombasa hawataki miraa na muguka kuuzwa maeneo yao.

The same substances are used all over the country, kwanini ume affect sana coast?

Watu wa Pwani ni rahisi kuwa addicted?
 
Mombasa kuna idadi kubwa ya Waislamu. Kawaida Waislamu huwa hawanywi pombe so kileo chao kikubwa ni hiyo miraa na muguka.
 
Back
Top Bottom