Watu wa Temeke mnaaishije bar chafu na hazina warembo?

Watu wa Temeke mnaaishije bar chafu na hazina warembo?

Nyie mnaishije?huku temeke??mi bar michafuuu haina wanawake warembo "maua" MTU unakunywa bia umezungukwa Na mi bar meidi tu..ahh ngoja niende zangu tabata nigonge bia nikalale masaki home.

Siji tena hukuu
Naona uko likizo wakusoma.
 
Niliunga jf 2008 nikiwa 2nd year UDSM Naona miaka hiyo ulikuwa unavaa pampers Na kujisaidia kwenye poti..mi faza wewe.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sawa wakusoma.
 
Nyie mnaishije?huku temeke??mi bar michafuuu haina wanawake warembo "maua" MTU unakunywa bia umezungukwa Na mi bar meidi tu..ahh ngoja niende zangu tabata nigonge bia nikalale masaki home.

Siji tena hukuu
Mademu wa ukweli hawapo bar wewe... Nenda house parties za washua au tafuta ajira zitazokupeleka kwenye seminar za kimataifa la sivyo utahangaika sana.
 
lol.PNG
Mi leo naanzia Toroka uje..
 
Back
Top Bottom