FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Siyo kweli ndugupole sana tunaotumia smartphone tunayo hiyo huduma muda sana wala sio huduma mpya
Hiyo huduma mbona ipo kwenye App muda mrefu tuSiyo kweli ndugu
Cyo kweli,wewe unasemea huduma mfano ya Tigo au voda rusha,Mimi nasemea mtu haoni au yupo kijijini na ni usiku wa manane anavocha sasa anakwangua na kuelekeza simu ilipo au kwenye kioo vocha inaingia bila kuweka namba moja moja,kama app IPO inaitwaje tuhakiki mda huuHiyo huduma mbona ipo kwenye App muda mrefu tu
Acha kukataa hiyo huduma ipo muda mrefu, katafute App inaitwa Voucher master au Voucher scanner au Airtime loadup. Sio unakaa na kubisha tu, au smartphone umeanza kumiliki mwaka huu??Cyo kweli,wewe unasemea huduma mfano ya Tigo au voda rusha,Mimi nasemea mtu haoni au yupo kijijini na ni usiku wa manane anavocha sasa anakwangua na kuelekeza simu ilipo au kwenye kioo vocha inaingia bila kuweka namba moja moja,kama app IPO inaitwaje tuhakiki mda huu