kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Iko hivi, kuna mgonjwa aliandikiwa artesunate inj, lakini ilikosekana na badala yake akapata artemether inj. Nesi alikataa kumchoma eti hiki ni kitu kingine kabisa na walifundishwa na wizara ya afya wachome artesunate tu.
Na akaendelea kusisitiza eti ni bora achome Quinine kuliko hiyo artemether. Sasa nauliza kimsingi, kuna tofauti gani ya dawa hizo mbili?
Inayopigiwa debe imetengeneza China, na inayokataliwa imetengenezwa Belgium. Zote ni kutoka mmea unaojulikana kama artemesia alua (mtanisahihisha).
Je kama ni kweli mmezuia wasichome artemether, hii si matokeo ya milungula inayotolewa na makampuni ya kichina ili wauze dawa zao?
Na kama artemether inj ina matatizo kwanini TFDA haiindoi sokoni?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Na akaendelea kusisitiza eti ni bora achome Quinine kuliko hiyo artemether. Sasa nauliza kimsingi, kuna tofauti gani ya dawa hizo mbili?
Inayopigiwa debe imetengeneza China, na inayokataliwa imetengenezwa Belgium. Zote ni kutoka mmea unaojulikana kama artemesia alua (mtanisahihisha).
Je kama ni kweli mmezuia wasichome artemether, hii si matokeo ya milungula inayotolewa na makampuni ya kichina ili wauze dawa zao?
Na kama artemether inj ina matatizo kwanini TFDA haiindoi sokoni?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums