"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Pascal Bango lako hili limekuwa kama Dua njema kwa Mama Samia
Leo ndie Mku wa Nchi
Sasa Ni wakat muafaka kuondoa Kero zote za Muungano
ikiwemo ya Mamlaka ya Zanzibar kurejeshwa.
Ni kweli, na Rais Samia asipozimaliza kero za muungano, rais ajaye atavifanya visiwa hivyo kuwa mkoa!.
P
 
Karibu hapa usome faida za muungano.
P
Brother Paskal: kwa Karne hii ya sayansi na technologia unaweza kusema Haya maneno:-
Amesema Zanzibar ni visiwa hivyo viko wazi pande zote, hivyo faida kubwa kabisa ya muungano ni ulinzi usalamax amani na na utulivu wa Zanzibar, bila muungano, ilikuwa ni rahisi sana kuivamia Zanzibar na Zanzibar ikivamiwa ni rahisi sana kuivamia bara, hivyo muungano umeimarisha sana ulinzi na usalama, amani na utulivu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Hapa nilisema kitu kumhusu Samia na urais wa 2025.
P
 
HBD Rais Samia!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…