SoC04 Watu Waadilifu waingie kwenye siasa

SoC04 Watu Waadilifu waingie kwenye siasa

Tanzania Tuitakayo competition threads

Mubigi

New Member
Joined
Apr 19, 2024
Posts
1
Reaction score
2
Inafaa uwepo utaratibu wa kuwatambua watu Waadilifu na wachapa kazi Ili tuweze Kuwahimiza waingie katika siasi Ili baadae wawezi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika inchi hii. Watu wengi ambao ni Waadilifu na wachapa kazi hawataki kuingia katika Siasa na wanaona kama Siasa si kazi yao ,lakini tunapaswa Kutambua kwamba watu Waadilifu wakiingia katika Siasa tutapata viongozi ambao watakuwa wazalendo na wenye uchungu na ichi yao hii itafanya Taifa liendee vizuri. Mimi nawaomba Jamii forum muandae mchakato wa kuwatambua watu ambao ni Waadilifu Ili muweze Kuwahimiza waingie katika Siasa . Asante
 
Upvote 4
Inafaa uwepo utaratibu wa kuwatambua watu Waadilifu na wachapa kazi Ili tuweze Kuwahimiza waingie katika siasi Ili baadae wawezi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika inchi hii. Watu wengi ambao ni Waadilifu na wachapa kazi hawataki kuingia katika Siasa na wanaona kama Siasa si kazi yao ,lakini tunapaswa Kutambua kwamba watu Waadilifu wakiingia katika Siasa tutapata viongozi ambao watakuwa wazalendo na wenye uchungu na ichi yao hii itafanya Taifa liendee vizuri. Mimi nawaomba Jamii forum muandae mchakato wa kuwatambua watu ambao ni Waadilifu Ili muweze Kuwahimiza waingie katika Siasa . Asante
Waadilifu waingie katika siasa.

Vitengo vua usalama wa Taifa vinaweza kutusaidia kwa hili. Wagombea wote wanakuwa wanachunguzwa pindi wachukuapo fomu.

Halafu inafanyika 'blackmail' ya kitaifa kunwambia asiyefaa kwamba asigombee la sivyo data zifuatazo zitaachiliwa kwa wananchi. Hapo sasa ni kama watu wenyewe wanao uwezo wa kuaibika kwa matendo hayo. Tofauti na hivyo, tutaendelea kuvuna tulichopanda
 
Back
Top Bottom