Watu waandamana Nchini Marekani kupinga mashambulizi dhidi ya Yemen

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Katika Jiji la New York na jiji la Washington, makumi ya watu waandamana kupinga mashambulizi yanayofanyika huko Yemen.

Marekani na Uingereza wamefanya mashambulizi makubwa katika kambi za kivita za kundi la kigaidi la Houthi lenye makazi yake Nchini Yemen. Jambo lililopelekea waandamanaji kuja juu na kudai Yemen iache kushambuliwa.

Ikumbukwe Houthi walianza harakati za kivita baada ya Israel kurudisha mashumbulizi dhidi ya kundi la Hamas la Palestina. Houthi wanekuwa wakisumbua na kushambulia Meli zinazosafiri kupitia Bahari ya Sham (Red Sea), hususani kwenye Ghuba ya Aden. Jambo lililopelekea makampuni mengi ya Meli kusitisha safari za ukanda huo na kukwamisha shughuli za usafirishaji. Jambo lililopelekea Marekani na Uingereza kuingia Mzigoni.


View: https://www.instagram.com/reel/C1_-sjAox76/?igsh=MWgzMWh6c2FnZGY5NA==
 

1. Wafia dini uchwara wakwambia wavaa kobazi hao, wavaa vipedo; ngoja waje namwona MK254 anasubiri nafasi ya kupita mlangoni hutoka kwa kuongozana:



2. Post #3 tayari kwishney!
 
US kuna uhuŕu wa kukusanyika na kutoa maoni. Wacha hao akina kobaz waandamane tu. Magaidi wa Houthi wakiacha vurugu hakuna wa kuwagusa, ila wakisumbua kipondo kitawaandama kama kawaida.
 
US kuna uhuŕu wa kukusanyika na kutoa maoni. Wacha hao akina kobaz waandamane tu. Magaidi wa Houthi wakiacha vurugu hakuna wa kuwagusa, ila wakisumbua kipondo kitawaandama kama kawaida.

Una uhakika hao ni unaowaita kobazi?
 
1. Wafia dini uchwara wakwambia wavaa kobazi hao, wavaa vipedo; ngoja waje namwona MK254 anasubiri nafasi ya kupita mlangoni hutoka kwa kuongozana:

View attachment 2869805

2. Post #3 tayari kwishney!

Tudhihirishie uwepo wa huyo 'mungu' wenu anayesababisha mzike waafrika wenzenu wakiwa hai na kuchinja wengine.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…