Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mkuu.....Alianza Zakayo sasa ni Messi.
Jamani sitaki Hili lichukuliwe kwa uzito mkubwa, kuna ajenda.
Mwakifuna wa Mbeya miaka ya 80 nae pia tunamjumuisha hapa.
Usilete kashfa, tuijadili hoja.
Mod naomba Uzi usihamishwe jukwaa.
MaandishiUmeandika nini s
HahahahahaNimeilazimisha akili yangu kuelewa huu uzi, na baada ya kuelewa nimejikuta naachia boonge la cheko aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dahzakayo mtoza kodi.
messi nae matatizo ni yale yale ya kodi.
wote wafupi hahahaaha