Hahahaha dah... haya bhana...Yeah ningeenda tu kumuona mubashara halafu naendelea na shughuli zangu kwa maana kila siku namuona kwenye mitandao [emoji102]
Bora umeliona hilo asee... hebu imagine hapo kuna mianaume nayo imo!!!Kuna binadamu wana muda..
kwa hiyo ulifunga safariNdio.
Huyu mmama..... kama binti wa miaka 18...
Aaah inategemea mkuu..namaanisha ningekuwa karibu mkuu ningeenda tu kusafisha macho kidogo na kugeuza muda huohuo nikishamuona... Siwezi nikaacha ishu zangu za maana nikapoteza muda mrefu hukoHahahaha dah... haya bhana...
Kwahiyo ungeenda kumwangalia kama ambavyo ungeenda kumwangalia mama Maria mama wa Yesu?
Tena wengine wana muda wa kudeki barabara.Kuna binadamu wana muda..
ndio hivyo penye mafanikio maadui ni wengiHata hapa wapoo ππ±ππ±ππ±
alikuwa amekufuka mbaya kabisa!!!?Ndio
Ongeza na hiyo mingine miwili iliyoshiba eti na walinzi wakeIla kiukweli kuna mijanaume mingine kama si mishoga basi ina tabia ya kishoga...
Badala upambane na hali ya wanao na mkeo unaenda kushangaa mchepuko wa fuska...
Mamamamamamae sana walahi
Sorry Sky Eclat
Waanze kuangalia picha zake kwanza au wamsogelee.Wakikusikia wenyewe π±