Watu wahoji kwa nini CHADEMA imeanza kupunguza kasi ya kudai Katiba Mpya

Watu wahoji kwa nini CHADEMA imeanza kupunguza kasi ya kudai Katiba Mpya

Gamba la Nyoka

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2007
Posts
7,036
Reaction score
9,331
Wananchi mbalimbali wanaotaka katiba mpya wameshtushwa na ubaridi wa ghafla wa chama cha Demokrasia na maendeleo (ChADEMA) katika kudai katiba mpya.

Watu hao wanasema walikuwa na tumaini kubwa sana kuwa kupitia pressure ya taasisi hiyo yenye nguvu nchini pamoja na kuunganisha nguvu za wananchi wengine wanaotaka katiba mpya basi ingeweza kupelekea katiba hiyo kupatikana.

Kabla ya Mwenyekiti Mbowe hajaenda jela na wakati akiwa jela vuguvugu la chama hicho kudai katiba mpya lilikuwa kubwa sana hadi kufikia watu kudhani kuwa Mbowe alikamatwa na kuwekwa ndani sababu ya Kudai katiba mpya!

Cha ajabu baada ya Mbowe kutoka jela amekuwa hana tena msisitizo wa kuzungumzia katiba mpya, hata anapopata nafasi ya kuongea ni kama anakwepakwepa kuzungumzia katiba mpya.

Siku hizi hata maoamanda wao akina Lema, Lissu na vijana wa Chadema wamepunguza kasi ya kudai katiba mpya siyo kama mwanzo.

Watu sasa hivi mitandaoni wanahoji, je CHADEMA imeshabadili gia angani kama kawaida yake?, Wengine wanahoji kuwa au tayari Jamaa wameshavuta mpunga ndiyo maana wameanza kupunguza pressure ya kudai katiba mpya?.
Watu wanahoji haya hasa ukizingatia historia ya viongozi na watu waandamizi wa CHADEMA huko nyuma "kuunga mkono juhudi" na kwenda CCM kitu ambacho ni dhahiri ni kununuliwa.

Hapa chini ni sauti ya Mwananchi huko clubhouse ikihoji kupoa huko kwa Chadema kudai katiba mpya wakati tayari ilishakuwa ni ajenda kubwa na wananchi wameipokea.

 
Tumehamishia mashambulizi kimataifa zaidi, sasa hivi tupo USA
 
Kupoa kivipi? Mbona makongamano yanafanyika kikanda? Hivi punde Kuna kongamano la KATIBA litafanyika Mbeya. Lingine lilifanyika Serengeti, nk
 
Wananchi mbalimbali wanaotaka katiba mpya wameshtushwa na ubaridi wa ghafla wa chama cha Demokrasia na maendeleo (ChADEMA) katika kudai katiba mpya.

Watu hao wanasema walikuwa na tumaini kubwa sana kuwa kupitia pressure ya taasisi hiyo yenye nguvu nchini pamoja na kuunganisha nguvu za wananchi wengine wanaotaka katiba mpya basi ingeweza kupelekea katiba hiyo kupatikana.

Kabla ya Mwenyekiti Mbowe hajaenda jela na wakati akiwa jela vuguvugu la chama hicho kudai katiba mpya lilikuwa kubwa sana hadi kufikia watu kudhani kuwa Mbowe alikamatwa na kuwekwa ndani sababu ya Kudai katiba mpya!

Cha ajabu baada ya Mbowe kutoka jela amekuwa hana tena msisitizo wa kuzungumzia katiba mpya, hata anapopata nafasi ya kuongea ni kama anakwepakwepa kuzungumzia katiba mpya.

Siku hizi hata maoamanda wao akina Lema, Lissu na vijana wa Chadema wamepunguza kasi ya kudai katiba mpya siyo kama mwanzo.

Watu sasa hivi mitandaoni wanahoji, je CHADEMA imeshabadili gia angani kama kawaida yake?, Wengine wanahoji kuwa au tayari Jamaa wameshavuta mpunga ndiyo maana wameanza kupunguza pressure ya kudai katiba mpya?.
Watu wanahoji haya hasa ukizingatia historia ya viongozi na watu waandamizi wa CHADEMA huko nyuma "kuunga mkono juhudi" na kwenda CCM kitu ambacho ni dhahiri ni kununuliwa.

Hapa chini ni sauti ya Mwananchi huko clubhouse ikihoji kupoa huko kwa Chadema kudai katiba mpya wakati tayari ilishakuwa ni ajenda kubwa na wananchi wameipokea.

Mbowe sasa hivi ni tajiri mkubwa sana ,mama anamwaga mihela ili kupigania wahuni wa msoga ,hata hichi chama kipya kilicho anzishwa tusikiamini kuwa kipo upande wa jpm kama kinavyo jinadi, maana jamaa aliye kianzisha alishiliki uchaguzi wa rais 2020 kama mgombea wa urais upinzani
 
Wananchi mbalimbali wanaotaka katiba mpya wameshtushwa na ubaridi wa ghafla wa chama cha Demokrasia na maendeleo (ChADEMA) katika kudai katiba mpya.

Watu hao wanasema walikuwa na tumaini kubwa sana kuwa kupitia pressure ya taasisi hiyo yenye nguvu nchini pamoja na kuunganisha nguvu za wananchi wengine wanaotaka katiba mpya basi ingeweza kupelekea katiba hiyo kupatikana.

Kabla ya Mwenyekiti Mbowe hajaenda jela na wakati akiwa jela vuguvugu la chama hicho kudai katiba mpya lilikuwa kubwa sana hadi kufikia watu kudhani kuwa Mbowe alikamatwa na kuwekwa ndani sababu ya Kudai katiba mpya!

Cha ajabu baada ya Mbowe kutoka jela amekuwa hana tena msisitizo wa kuzungumzia katiba mpya, hata anapopata nafasi ya kuongea ni kama anakwepakwepa kuzungumzia katiba mpya.

Siku hizi hata maoamanda wao akina Lema, Lissu na vijana wa Chadema wamepunguza kasi ya kudai katiba mpya siyo kama mwanzo.

Watu sasa hivi mitandaoni wanahoji, je CHADEMA imeshabadili gia angani kama kawaida yake?, Wengine wanahoji kuwa au tayari Jamaa wameshavuta mpunga ndiyo maana wameanza kupunguza pressure ya kudai katiba mpya?.
Watu wanahoji haya hasa ukizingatia historia ya viongozi na watu waandamizi wa CHADEMA huko nyuma "kuunga mkono juhudi" na kwenda CCM kitu ambacho ni dhahiri ni kununuliwa.

Hapa chini ni sauti ya Mwananchi huko clubhouse ikihoji kupoa huko kwa Chadema kudai katiba mpya wakati tayari ilishakuwa ni ajenda kubwa na wananchi wameipokea.



Mnadai kwenye keyboard Tu ndio shida yenu mnataka wenzenu Wadai ili wakamatwe wapewe kesi


Wakati huo nyie mpo Tu home mmetulia
 
Mnadai kwenye keyboard Tu ndio shida yenu mnataka wenzenu Wadai ili wakamatwe wapewe kesi


Wakati huo nyie mpo Tu home mmetulia
Sasa ukiwa mwanasiasa kwenda jela si ni sawa na mlevi kuingia bar?.Mwanasiasa gani anaogopa selo, huyo si mwanasiasa ni mchumia tumbo
 
Sasa ukiwa mwanasiasa kwenda jela si ni sawa na mlevi kuingia bar?.Mwanasiasa gani anaogopa selo, huyo si mwanasiasa ni mchumia tumbo

Na wao sasa wamechoka kwani katiba ni Yao wao Tu? Si hata ww itakufaa? Je ww umefanya hatua gani kupata katiba mpya?
 
Na wao sasa wamechoka kwani katiba ni Yao wao Tu? Si hata ww itakufaa? Je ww umefanya hatua gani kupata katiba mpya?
Sasa waachane na siasa basi kama wameshindwa kusimamia ajenda zenye maslahi ya umma.
 
WATU wengi humu jamvini wanadhani katiba Mpya ni takwa la Chadema na mbowe!!kumbe ni the state wenyewe Chadema na mbowe ni wachocheaji wa malengo yao!!!
Ni ajenda ya wananchi iliyobebwa na Chadema, waliiweka hata hadi ktk ilani yao. Lakini sasa hivi wameanza kubadili gia angani
 
Ni ajenda ya wananchi iliyobebwa na Chadema, waliiweka hata hadi ktk ilani yao. Lakini sasa hivi wameanza kubadili gia angani
Katiba siyo agenda ya kipaumbele kwa wananchi walio wengi. Katiba ni agenda ya wanasiasa wachache. Ingekuwa ya wananchi wengi ingekuwa ishapatikana
 
Ni ajenda ya wananchi iliyobebwa na Chadema, waliiweka hata hadi ktk ilani yao. Lakini sasa hivi wameanza kubadili gia angani
Hapana Mkuu!!hao wananchi ni chambo tu!the state waliona ufisadi na ukoo ukishamiri KWENYE uongozi wakaona ni Bora wawatume Warioba wakafanye yao!!HATA juzi mama anakabidhiwa nchi pale gaberon room number 26 aliambiwa atekeleze sharti la kuandikwa katiba Mpya!!!ni hayo tu!!
 
Wananchi mbalimbali wanaotaka katiba mpya wameshtushwa na ubaridi wa ghafla wa chama cha Demokrasia na maendeleo (ChADEMA) katika kudai katiba mpya.

Watu hao wanasema walikuwa na tumaini kubwa sana kuwa kupitia pressure ya taasisi hiyo yenye nguvu nchini pamoja na kuunganisha nguvu za wananchi wengine wanaotaka katiba mpya basi ingeweza kupelekea katiba hiyo kupatikana.

Kabla ya Mwenyekiti Mbowe hajaenda jela na wakati akiwa jela vuguvugu la chama hicho kudai katiba mpya lilikuwa kubwa sana hadi kufikia watu kudhani kuwa Mbowe alikamatwa na kuwekwa ndani sababu ya Kudai katiba mpya!

Cha ajabu baada ya Mbowe kutoka jela amekuwa hana tena msisitizo wa kuzungumzia katiba mpya, hata anapopata nafasi ya kuongea ni kama anakwepakwepa kuzungumzia katiba mpya.

Siku hizi hata maoamanda wao akina Lema, Lissu na vijana wa Chadema wamepunguza kasi ya kudai katiba mpya siyo kama mwanzo.

Watu sasa hivi mitandaoni wanahoji, je CHADEMA imeshabadili gia angani kama kawaida yake?, Wengine wanahoji kuwa au tayari Jamaa wameshavuta mpunga ndiyo maana wameanza kupunguza pressure ya kudai katiba mpya?.
Watu wanahoji haya hasa ukizingatia historia ya viongozi na watu waandamizi wa CHADEMA huko nyuma "kuunga mkono juhudi" na kwenda CCM kitu ambacho ni dhahiri ni kununuliwa.

Hapa chini ni sauti ya Mwananchi huko clubhouse ikihoji kupoa huko kwa Chadema kudai katiba mpya wakati tayari ilishakuwa ni ajenda kubwa na wananchi wameipokea.


"hadi kufikia watu kudhani kuwa Mbowe alikamatwa na kuwekwa ndani sababu ya Kudai katiba mpya!" Huu ni utopolo kwani hujui kuwa Mbowe alikamatwa kwa sababu ya kudai Katiba mpya??
 
Sema ccm hawataki Katiba mpya kwa sababu watakosa nguvu za kuvunja haki za binadamu
Katiba siyo agenda ya kipaumbele kwa wananchi walio wengi. Katiba ni agenda ya wanasiasa wachache. Ingekuwa ya wananchi wengi ingekuwa ishapatikana
 
Back
Top Bottom