Watu wahoji kwa nini CHADEMA imeanza kupunguza kasi ya kudai Katiba Mpya

Chadema nao ni wananchi pia, ni taasisi iliyojipa dhima ya kupigania katiba mpya, kwenye ilani zake, kwenye maazimio yake ambayo waliyatangaza public, kwa kauli za viongozi wake, etc.

Hata wananchi wengine wasio na vyama nao wanapigania katiba mpya mfano Askofu Bagonza, Niwemugizi, wanaharakati mitandaoni , etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…