Watu wakiamua kukuchafua wanakuchafua kweli kweli

Watu wakiamua kukuchafua wanakuchafua kweli kweli

siasa ms

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2019
Posts
1,821
Reaction score
3,142
Hii ishu ya R.Kelly imenifikirisha sana yaani kumbe Kuna makosa aliyafanya 1994 yanekuja kuwekwa wazi na kuonekana kuwa ni makosa kipindi hiki.

Sawali; Kwanini mashitaka hayo ya 1994 hakufunguliwa miaka hiyo hiyo?

Aisee nafikiri huyu jamaa kipindi hicho alikua chini ya mamlaka Fulani iliyokuwa ikimlinda kwa sababu alikua chini yao,baada ya yeye kutaka ndo hiyo mamlaka ikaweka mpango mkakati wa kumchafua ikiwezekana kumpoteza kabisa.

Ukweli Ni kwamba wasanii wengi wa marekani na duniani kwa ujumla walio chini ya mamlaka Fulani wakitaka kujitoa lazima watengenezewe skendo ili wapotee kabisa. eg..Michael Jackson,DMX n.k

Mamlaka Fulani( namaanisha Freemason,illuminat na mamlaka mengine za kishetani.
 
'Hamna mamlaka yoyote hapo ni impact ya alichokifanya mwenyewe

Jinai' haijawahi kuexpire

lakini vitoto vinavochipukia vitamu simlaumu kelly
 
'Hamna mamlaka yoyote hapo ni impact ya alichokifanya mwenyewe

Jinai' haijawahi kuexpire

lakini vitoto vinavochipukia vitamu simlaumu kelly
Alihukumiwa kipindi kile kile alipooa kitoto kidogo?
 
Sasa kwani marehemu aaliyah so alikua anaizamisha?
Basi huyo sio mtoto
 
Mjomba Kelly alizingua.
Kumbe alimuoa Hadi marehemu aaliya kwa ndoa ya Siri
Acha avune alichopanda
Mimi mchezo na vitoto vidogo sitaki kusikia unaweza kwenda jela
Nilianza kuelewa hii sio sawa nilipopata mtoto wa Kwanza wa kike wa pili wakike na watatu wa kike na kuwajua vizuri akyanani in front of me isijejaribu kutoa abusive word mbele ya mwanamke yoyote simply you are looking for trouble
 
Back
Top Bottom