watu walio weka huu utaratibu wa mgombea wa chama tawala kujiundia tume huru wanapaswa kuchunguzwa na hata kushtakiwa

watu walio weka huu utaratibu wa mgombea wa chama tawala kujiundia tume huru wanapaswa kuchunguzwa na hata kushtakiwa

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
1,012
Reaction score
2,317
Huu utaratibu wa mgombea wa chama tawala kuunda tume huru sio demokrasia napinga kwa nguvu zote inawezakana ni mbinu ya watu wasio watakia mema watanzania maskini ili kujinyakulia madaraka kinyume cha sheria kwa kujiteuwa wao wenyewe kwasababu mgombea huyu kuunda tume huru hakuwezi kuwa na uchaguzi huru na wa haki bali kuna kujiteuwa.

watu hawa walio tuwekea utaratibu huu wanapaswa kuchunguzwa kwa undani zaidi na hata kushtakiwa hii sio sawa wala demokrasia kwa mgombea kuunda tume ni uhuni umetumika hapa.
 
Hao Wafungwe Jiwe La Kusagia Shingoni Na Kutoswa Baharini
 
Back
Top Bottom