Watu wameanza kuhama nchi mapema kabisa

Watu wameanza kuhama nchi mapema kabisa

Kwitogelo

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2023
Posts
310
Reaction score
442
IMG_20230401_201442_759.jpg
IMG_20230401_201442_759.jpg
 
kijana kajikataa zake Kwa kaburu, pale huwa hakuna serikali $mili 2 hizo na wale police wa SA unaishi tu kama uko heaven ni kuzipanga karata zako vizuri tu
 
Weka maelezo yaliyoshiba kapiga wapi hizo pesa na kapigaje?
Kwa kifupi ni kwamba afisa huyo inaonekana hizo pesa tajwa yeye ni moja kati ya maaskari wa polisi wanaoshukiwa kuziiba. Pesa hizo zilitokana na michango waliyokuwa wakichangishwa askari poli kiasi cha shilingi 5,000/=kwa kila polisi kila mwezi (hakuna maelezo ya ni kwanini walikuwa wanachangishwa pesa hizo kwenye gazeti hilo)

Maelezo mengine ni kwamba polisi huyo inaaminika amekimbilia SA baada ya kusikia ripoti ya kichele kuhusu upotevu wa pesa hizo wakati akitoa taarifa kama mkaguzi mkuu wa serikali siku ya jumatano.

Gazeti pia limeandika jamaa alipata taarifa hizo wakati akiwa chuo cha polisi moshi akisomea au akichukua mafunzo ya polisi kwa cheo cha ASP ambapo huchukua miezi sita. Mpaka hapo nadhaninkidogo nmeeleweka mkuu!!! Japo gazeti lenyewe ni kingereza
 
Kwa kifupi ni kwamba afisa huyo inaonekana hizo pesa tajwa yeye ni moja kati ya maaskari wa polisi wanaoshukiwa kuziiba. Pesa hizo zilitokana na michango waliyokuwa wakichangishwa askari poli kiasi cha shilingi 5,000/=kwa kila polisi kila mwezi (hakuna maelezo ya ni kwanini walikuwa wanachangishwa pesa hizo kwenye gazeti hilo)

Maelezo mengine ni kwamba polisi huyo inaaminika amekimbilia SA baada ya kusikia ripoti ya kichele kuhusu upotevu wa pesa hizo wakati akitoa taarifa kama mkaguzi mkuu wa serikali siku ya jumatano.

Gazeti pia limeandika jamaa alipata taarifa hizo wakati akiwa chuo cha polisi moshi akisomea au akichukua mafunzo ya polisi kwa cheo cha ASP ambapo huchukua miezi sita. Mpaka hapo nadhaninkidogo nmeeleweka mkuu!!! Japo gazeti lenyewe ni kingereza
Hapo umesomeka kiongozi, kiufupi jamaa kaitumia fursa vizuri honhera kwake kwa uzalendo.
 
Back
Top Bottom