Watu Wamepoteza Mwamko wa Kusikiliza Ripoti ya CAG

Watu Wamepoteza Mwamko wa Kusikiliza Ripoti ya CAG

Konny Joseph

Senior Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
118
Reaction score
199
-5850258066249990756_121.jpg


Ni takribani miaka mitatu sasa CAG amekuwa akitoa taarifa zilizojaa madudu ya ufisadi na rushwa pasi na mamlaka ikiwemo serikali kuchukua hatua yeyeote kukabiliana na tuhuma hizo kwa kipindi chote hicho.

Imefikia hatua sasa wananchi wamepoteza kabisa imani ya kuendelea kusikiliza ripoti hiyo.Mimi binafsi nikiwa mmoja wao sioni kabisa haja ya kuendelea kupoteza mda wangu kusikiliza au kusoma ripoti ambayo kwa ujumla haina tija yeyeote kwa taifa.

Ni wazi kwamba rippoti ya CAG haisomwi ili wananchi wajue tu yaliyomo kwenye hiyo ripoti bali inasomwa ili wananchi wajue pia hatua ambazo mamlaka itazichukua dhidi ya taarifa ya ufisadi itakayowasilishwa katika taarifa hiyo.

sasa kama taarifa zinawasilishwa alafu hakuna hatua yeyote,ni wazi kwamba hatkuna haja ya kuwa hata na hiyo ofisi ya CAG kwa sasa.
 
View attachment 2971597

Ni takribani miaka mitatu sasa CAG amekuwa akitoa taarifa zilizojaa madudu ya ufisadi na rushwa pasi na mamlaka ikiwemo serikali kuchukua hatua yeyeote kukabiliana na tuhuma hizo kwa kipindi chote hicho.

Imefikia hatua sasa wananchi wamepoteza kabisa imani ya kuendelea kusikiliza ripoti hiyo.Mimi binafsi nikiwa mmoja wao sioni kabisa haja ya kuendelea kupoteza mda wangu kusikiliza au kusoma ripoti ambayo kwa ujumla haina tija yeyeote kwa taifa.

Ni wazi kwamba rippoti ya CAG haisomwi ili wananchi wajue tu yaliyomo kwenye hiyo ripoti bali inasomwa ili wananchi wajue pia hatua ambazo mamlaka itazichukua dhidi ya taarifa ya ufisadi itakayowasilishwa katika taarifa hiyo.

sasa kama taarifa zinawasilishwa alafu hakuna hatua yeyote,ni wazi kwamba hatkuna haja ya kuwa hata na hiyo ofisi ya CAG kwa sasa.
Wewe kama mwananchi na mlipa kodi, unachukua hatua gani ili ripoti iweze kufanyiwa kazi na mamlaka husika?
 
Wewe kama mwananchi na mlipa kodi, unachukua hatua gani ili ripoti iweze kufanyiwa kazi na mamlaka husika?
Hizo hatua ndio zimefungwa kwenye mfumo wa haki kwa nchi yetu.

Chombo pekee tulichokuwa tunakitegemea ni mahakama,nayo sasa imekuwa haina msaada wowte kwa umma.

Sasa labda njia iliyobaki ni kutumia tu nguvu ya umma,tumwagane damu ili tueleweke kwa urahisi.

Mana nchi imefikia pahali pabaya sana kwa sasa.
 
Sasa labda njia iliyobaki ni kutumia tu nguvu ya umma,tumwagane damu ili tueleweke kwa urahisi.
.

Hii ndio option pekee inayoweza kuleta mabadiliko, kwani hamna Mzalendo wa kuleta haya mabadiliko akiwa madarakani.

Serikali imemuweka CAG ili ioneshwe mapungufu, halafu serikali ndio inajukumu la kuchukua hatua dhidi ya mapungufu yake.

Uliona wapi mtu anajiwajibisha mwenyewe? Hapo ni vigumu.
 
Hizo hatua ndio zimefungwa kwenye mfumo wa haki kwa nchi yetu.

Chombo pekee tulichokuwa tunakitegemea ni mahakama,nayo sasa imekuwa haina msaada wowte kwa umma.

Sasa labda njia iliyobaki ni kutumia tu nguvu ya umma,tumwagane damu ili tueleweke kwa urahisi.

Mana nchi imefikia pahali pabaya sana kwa sas

Hizo hatua ndio zimefungwa kwenye mfumo wa haki kwa nchi yetu.

Chombo pekee tulichokuwa tunakitegemea ni mahakama,nayo sasa imekuwa haina msaada wowte kwa umma.

Sasa labda njia iliyobaki ni kutumia tu nguvu ya umma,tumwagane damu ili tueleweke kwa urahisi.

Mana nchi imefikia pahali pabaya sana kwa sasa.
Upo sahihi kabisa, hiyo ndio njia iliyobaki hakuna mbadala. Nakubaliana na wewe.
 
Wewe kama mwananchi na mlipa kodi, unachukua hatua gani ili ripoti iweze kufanyiwa kazi na mamlaka husika?
Swali la Kipumbavu kutoka kwa Mpumbavu ambaye yeye mwenyewe hana hatua alizozichukua!
 
Swali la Kipumbavu kutoka kwa Mpumbavu ambaye yeye mwenyewe hana hatua alizozichukua!
Maoni yake na swali alilouliza ni kama kioo, ukiliangalia au kulijibu basi huakisi jinsi ulivyo. Kwa kuwa wewe umeona aliyeuliza ni mwerevu na ameuliza kwa werevu basi wewe pia ni mwerevu. Kinyume chake ndivyo ulivyo.
 
Baada ya ripoti hakuna kinachotendeka pamoja na maovu yoote hayo, unategemea nini sasa?
 
View attachment 2971597

Ni takribani miaka mitatu sasa CAG amekuwa akitoa taarifa zilizojaa madudu ya ufisadi na rushwa pasi na mamlaka ikiwemo serikali kuchukua hatua yeyeote kukabiliana na tuhuma hizo kwa kipindi chote hicho.

Imefikia hatua sasa wananchi wamepoteza kabisa imani ya kuendelea kusikiliza ripoti hiyo.Mimi binafsi nikiwa mmoja wao sioni kabisa haja ya kuendelea kupoteza mda wangu kusikiliza au kusoma ripoti ambayo kwa ujumla haina tija yeyeote kwa taifa.

Ni wazi kwamba rippoti ya CAG haisomwi ili wananchi wajue tu yaliyomo kwenye hiyo ripoti bali inasomwa ili wananchi wajue pia hatua ambazo mamlaka itazichukua dhidi ya taarifa ya ufisadi itakayowasilishwa katika taarifa hiyo.

sasa kama taarifa zinawasilishwa alafu hakuna hatua yeyote,ni wazi kwamba hatkuna haja ya kuwa hata na hiyo ofisi ya CAG kwa sasa.
Kama hazifanyiwi kazi hakuna maana. Ina maana mamlaka za kuwawajibisha wahusika zinawaogopa au kuwaonea aibu.
 
Back
Top Bottom