Watu wana maneno aisee! Simba.....

Nanoli

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
3,735
Reaction score
5,974
" Form 4 kesho wanaanza mitihani ya kumaliza shule, lakini tangu waanze shule Form 1 hawajaioa Simba ikiwa bingwa"
 
" Form 4 kesho wanaanza mitihani ya kumaliza shule, lakini tangu waanze shule Form 1 hawajaioa Simba ikiwa bingwa"
Kwa kuwa wanajua hilo ni bonge moja ya jibu kwenye mtihani ikiwa na maana kuwa simba itawapa division 1.
Yanga tope limejaa klabuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…