LGE2024 Watu wanaipenda CHADEMA, na CCM inalazimisha watu waipende

LGE2024 Watu wanaipenda CHADEMA, na CCM inalazimisha watu waipende

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

cumbamalema

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
366
Reaction score
820
Kwa jinsi kampeni zinavyoendelea nimejifunza kitu,Chadema ni chama kinachopendwa na wa Tanzania kutoka ndani ya Mioyo yao, haijalishi wanapitia kipindi kigumu kiasi gani, lakini watu bado wanakipenda hiki chama kutoka ndani ya mioyo yao.

Tofauti na CCM inalazimisha watu waipende kwa kutumia nguvu zote, kuanzia jeshi la polisi na vyombo vyote vya Serikali lakini bado watu hawaitaki, labda kilichobaki waendelee na ule mtindo wao wa kuiba kura.

Nimeamini ukiona mtu yuko ndani ya CCM jua yupo kwa ajili ya maslai yake binafsi bali siyo kwa upendo

Huu ndiyo ukweli sawa na kumlazimisha mwanamke akupende sababu unampa pesa, lakini anaye anayempenda kutoka ndani ya moyo wake bila kujali anampa nini
 
Mbinu wanazotumia CCM kuwamata wapinzani zinazidi kuwavunjia imani wananchi na kujenga chuki dhidi yao heri wangepambana nao kwa haki
 
Kwa jinsi kampeni zinavyoendelea nimejifunza kitu,Chadema ni chama kinachopendwa na wa Tanzania kutoka ndani ya Mioyo yao, haijalishi wanapitia kipindi kigumu kiasi gani, lakini watu bado wanakipenda hiki chama kutoka ndani ya mioyo yao.

Tofauti na CCM inalazimisha watu waipende kwa kutumia nguvu zote, kuanzia jeshi la polisi na vyombo vyote vya Serikali lakini bado watu hawaitaki, labda kilichobaki waendelee na ule mtindo wao wa kuiba kura.

Nimeamini ukiona mtu yuko ndani ya CCM jua yupo kwa ajili ya maslai yake binafsi bali siyo kwa upendo

Huu ndiyo ukweli sawa na kumlazimisha mwanamke akupende sababu unampa pesa, lakini anaye anayempenda kutoka ndani ya moyo wake bila kujali anampa nini
CCM ilisha kufa moyoni mwa watanzania. Ni vile hakuna namna ya kuindoa madarakani kwa sababu wanatawala kwa nguvu za polisi. Sio wanachadema tu bali hata sisi raia tusio na vyama tunaipiga chini ccm. Wameshindwa kutimiza mambo mengi sana.
 
Kwa jinsi kampeni zinavyoendelea nimejifunza kitu,Chadema ni chama kinachopendwa na wa Tanzania kutoka ndani ya Mioyo yao, haijalishi wanapitia kipindi kigumu kiasi gani, lakini watu bado wanakipenda hiki chama kutoka ndani ya mioyo yao.

Tofauti na CCM inalazimisha watu waipende kwa kutumia nguvu zote, kuanzia jeshi la polisi na vyombo vyote vya Serikali lakini bado watu hawaitaki, labda kilichobaki waendelee na ule mtindo wao wa kuiba kura.

Nimeamini ukiona mtu yuko ndani ya CCM jua yupo kwa ajili ya maslai yake binafsi bali siyo kwa upendo

Huu ndiyo ukweli sawa na kumlazimisha mwanamke akupende sababu unampa pesa, lakini anaye anayempenda kutoka ndani ya moyo wake bila kujali anampa nini
Hapa ndio tafsiri halisi ya uchawa na chawa inapojidhihirisha.
 
Kwa jinsi kampeni zinavyoendelea nimejifunza kitu,Chadema ni chama kinachopendwa na wa Tanzania kutoka ndani ya Mioyo yao, haijalishi wanapitia kipindi kigumu kiasi gani, lakini watu bado wanakipenda hiki chama kutoka ndani ya mioyo yao.

Tofauti na CCM inalazimisha watu waipende kwa kutumia nguvu zote, kuanzia jeshi la polisi na vyombo vyote vya Serikali lakini bado watu hawaitaki, labda kilichobaki waendelee na ule mtindo wao wa kuiba kura.

Nimeamini ukiona mtu yuko ndani ya CCM jua yupo kwa ajili ya maslai yake binafsi bali siyo kwa upendo

Huu ndiyo ukweli sawa na kumlazimisha mwanamke akupende sababu unampa pesa, lakini anaye anayempenda kutoka ndani ya moyo wake bila kujali anampa nini
Baada ya uchaguzi Wetu wa mwenyekiti tunaenda kulisuka chama ccm waniandae kukabidhi dola
 
Back
Top Bottom