Watu wanakufa wameacha legacy, wenyewe wanakufa wameacha kisilani. Hata kama ni ngazi ya ukoo!

Watu wanakufa wameacha legacy, wenyewe wanakufa wameacha kisilani. Hata kama ni ngazi ya ukoo!

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Na kalaga baho Nongwa

Wazee sina neno kubwa leo, nimekumbuka sana uwepo wa advanced marginalised Community nchini. Niliwah kuandika habari zao humu ndani kwamba, hao watu wametokea katika makalio ya dunia. Yani huko ndugu zangu kila kisanga kisanga, wamakonde wanaitaga "ng'anya".

Huko ukikaa vibaya nchale, ukilala nchale, ukichimama nchale, ukichutama nchale, ukiamua kukimbia nchale. Kila shida unayoijua wewe huko ni ngoma ngumu. Ukiizungunzia elimu hola, biashara nongwa, ajira ng'anya, maendelo hakuna ,la maana nehinehi

Huko unakuta kila anaeumwa karongwa, mtu akifa kinatibuka kivumbi watu wanasoma albadiri. Shirki na tuhuma za uchawi ni kila siku, familia hazisapotiani na hata anaesoma anarudishwa nyuma kwq nguvu ya aina yoyote ile. Huko mzazi akifa hata kama kaacha mali za milion mia 7 miaka mitatu mbele hakuna mali hata moja na vijana wanaunga unga vilevile. Ukizungumzia ajira huko balaa, kusoma shida hata exposure ya kibashra hakuna. Watu wanakomalia urithi wapate hela za chapchap. Wakati wenzao wakifa wanasifiwa kwa waliyoyaacha, wao wanaacha kivumbi huku watu wanataka urithi wengine wanataka kusoma albadiri Marehem alirogwa

Unafikiria nn katika hili?

Kalaga baho
 
Tupe experience yako mzee, najua hapo maarifa yamelala. Niliwah kuona experience hii hasa kwq wazaramo, watu waliouza kijichi mpaka mgeninani na wale waliouza ilala na mbande kisewe na toangoma
Rafiki mada yako ni fikirishi ila Sasa ni Kama mwishoni unatusema wazaramo ,je niwaite ndugu zangu utaweza kuhimili michambo ?
 
Na kalaga baho Nongwa

Wazee sina neno kubwa leo, nimekumbuka sana uwepo wa advanced marginalised Community nchini. Niliwah kuandika habari zao humu ndani kwamba, hao watu wametokea katika makalio ya dunia. Yani huko ndugu zangu kila kisanga kisanga, wamakonde wanaitaga "ng'anya".

Huko ukikaa vibaya nchale, ukilala nchale, ukichimama nchale, ukichutama nchale, ukiamua kukimbia nchale. Kila shida unayoijua wewe huko ni ngoma ngumu. Ukiizungunzia elimu hola, biashara nongwa, ajira ng'anya, maendelo hakuna ,la maana nehinehi

Huko unakuta kila anaeumwa karongwa, mtu akifa kinatibuka kivumbi watu wanasoma albadiri. Shirki na tuhuma za uchawi ni kila siku, familia hazisapotiani na hata anaesoma anarudishwa nyuma kwq nguvu ya aina yoyote ile. Huko mzazi akifa hata kama kaacha mali za milion mia 7 miaka mitatu mbele hakuna mali hata moja na vijana wanaunga unga vilevile. Ukizungumzia ajira huko balaa, kusoma shida hata exposure ya kibashra hakuna. Watu wanakomalia urithi wapate hela za chapchap. Wakati wenzao wakifa wanasifiwa kwa waliyoyaacha, wao wanaacha kivumbi huku watu wanataka urithi wengine wanataka kusoma albadiri Marehem alirogwa

Unafikiria nn katika hili?

Kalaga baho
Nilipoona tu kwenye heading kuna neno "KisiLani" badala ya "KisiRani" sijahangaika hata kusoma upupu uliopo ndani.
 
Back
Top Bottom