Watu wanaokwenda South Africa wanafanya shughuli gani hasa huko?

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Habari wadau, kumekuwa na wimbi kubwa la watu kukimbilia nchini Afrika Kusini. Hivi nini hasa wanachoenda kufanya huko kwa maana ya shughuli za kuwafanya wayamudu maisha ya huko?
 
Njooo mkuu ntakutafutia kazi uku zipo. Sio kama uko na sirikali yenu ya kuuwa raia. Hii. Ni wenyewe wanaiita TAIFA HURU.
 
Njooo mkuu ntakutafutia kazi uku zipo. Sio kama uko na sirikali yenu ya kuuwa raia. Hii. Ni wenyewe wanaiita TAIFA HURU.

Hahaha mi natafutia Gris hapa hapa kwetu mkuu ila tu nimekuwa najiuliza watu wanakuja kufanya nini huko. Ist that opportunities za kupata pesa ni nyingi ana vipi maana majority hawana utaalam wowote zaidi ya kuwa ile watoto wa mjini wanaita hustlers
 
Watupe fursa za biashara, lakini kuondoka nchi yangu big no
 
Aah uko bwana Tupo kwetu lkn kama upo ukimbizini tu, lisasi, ukipiga picha kosa,Ukiwa kiongozi mdogomdogo W's chama pinzani unanyongwa, dah naipenda nchi yangu Tanzania lakini mmmmh Acha tukae tu huku kwanza Mpaka apo hali ikikaa sawa
 
Aah uko bwana Tupo kwetu lkn kama upo ukimbizini tu, lisasi, ukipiga picha kosa,Ukiwa kiongozi mdogomdogo W's chama pinzani unanyongwa, dah naipenda nchi yangu Tanzania lakini mmmmh Acha tukae tu huku kwanza Mpaka apo hali ikikaa sawa

Hahaha Sawa mkuu, sasa Hawa watu wasiokuwa na utaalam wa kuweza kupata ajira huko wanafanya nini hasa
 
Si wote lakini wengi ni ngada ndio inawaweka huko
 
Si wote lakini wengi ni ngada ndio inawaweka huko

Hahha it seems like kuna mateja wa kufa mtu huko. But kuna wale wasomali na waethiopia wanaokamatwa kila siku kwenye mafuso nao wanaenda kuuza ngada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…