Kuna wadada/wamama wa umri wa kati mitaani nao Huwa wanaomba buku za unga au hela ya chakula Huwa siwaelewi kabisa malengo yao Hasa mida ya jioni sa moja moja hivi.Salaam ndugu zangu,
Katika pitapita zangu za hapa na pale nimekutana na watu adhaa wakanionya kuwasaidia watu naokutana nao njiani na kunisisitiza kuwa makini...
Haujakosea upo sahihi kabisa mi nipo Moro Kuna madogo wamemaliza tu la 7 vijijini jamaa kawakusanya kawaleta mjini,asubuhi wanachemshiwa mayai kibao wanapenda kuzungusha wanaleta pesa jioni,na kuhusu omba omba ni ukweli pia Tena wengine ni omba omba WA kimataifa,Salaam ndugu zangu,
Katika pitapita zangu za hapa na pale nimekutana na watu adhaa wakanionya kuwasaidia watu naokutana nao njiani na kunisisitiza kuwa makini...
Hawa nimekutana nao mwanamke mzuri anakuomba 1000 akawanunulie chakula.alaf mida ya night saa1,2 asilimia kubwa wanajiuza kwa njia mpy tuliweka mtego kwa 3 njia zao wanazijua target sio 1000 bali muongee biasharaKuna wadada/wamama wa umri wa kati mitaani nao Huwa wanaomba buku za unga au hela ya chakula Huwa siwaelewi kabisa malengo yao Hasa mida ya jioni sa moja moja hivi.
Halafu siyo walemavu wala nini
Hawa nimekutana nao mwanamke mzuri anakuomba 1000 akawanunulie chakula.alaf mida ya night saa1,2 asilimia kubwa wanajiuza kwa njia mpy tuliweka mtego kwa 3 njia zao wanazijua target sio 1000 bali muongee biasharaKuna wadada/wamama wa umri wa kati mitaani nao Huwa wanaomba buku za unga au hela ya chakula Huwa siwaelewi kabisa malengo yao Hasa mida ya jioni sa moja moja hivi.
Halafu siyo walemavu wala nini
Daah noma sana. Shida kuwajua wenye shida kweli na wahuni ni changamotoUnauliza majibu shee?Watu wanaenda chukua vilema vijijni na kuahidi kuja kuwapa maisha mazuri town.Ila wakifika picha linaanza kila Mmoja anapewa wheelchair na bakuli,na mtu wa kumsukuma,anapangiwa hesabu.Hii Dunia yakipuuzi sana
Du hatari Sana, maanake ule ni mtongozo.Hawa nimekutana nao mwanamke mzuri anakuomba 1000 akawanunulie chakula.alaf mida ya night saa1,2 asilimia kubwa wanajiuza kwa njia mpy tuliweka mtego kwa 3 njia zao wanazijua target sio 1000 bali muongee biashara
Hawa nimekutana nao mwanamke mzuri anakuomba 1000 akawanunulie chakula.alaf mida ya night saa1,2 asilimia kubwa wanajiuza kwa njia mpy tuliweka mtego kwa 3 njia zao wanazijua target sio 1000 bali muongee biashara
😂🤣Omba omba anatumia simu,anakipaza sauti sasa apo nafikiki mara mbili