Watu wanaopaswa kuhoji kwanini Lissu na Mbowe walipelekwa Kanisani kuamuliwa Mgombea uRais na Mgombea Uenyekiti. Azimio la Kimbisa CCM ni halali !

Watu wanaopaswa kuhoji kwanini Lissu na Mbowe walipelekwa Kanisani kuamuliwa Mgombea uRais na Mgombea Uenyekiti. Azimio la Kimbisa CCM ni halali !

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Badala ya kuhoji maamuzi halali na ya Kikatiba ya CCM nadhani Watu wangehoji kama ni halali Kanisa kufanya maamuzi Kwa niaba ya Chadema

Imethibitika aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na makamu wake Mh Tundu Lisu walipelekwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na katibu mkuu Mh John Mnyika Ili wafanyiwe upatanisho wa Nafasi za Uongozi walizokuwa wanabishania

Je, Katiba ya Chadema ina kipengere kinachohusu kuomba msaada wa kimaamuzi Kanisani au Msikitini? Hiyo Ndio Hoja

CCM ya kwao wameyamaliza Wao Wenyewe

Nawatakia Dominica NJEMA 🌹
 
Badala ya kuhoji maamuzi halali na ya Kikatiba ya CCM nadhani Watu wangehoji kama ni halali Kanisa kufanya maamuzi Kwa niaba ya Chadema

Imethibitika aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na makamu wake Mh Tundu Lisu walipelekwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na katibu mkuu Mh John Mnyika Ili wafanyiwe upatanisho wa Nafasi za Uongozi walizokuwa wanabishania

Je, Katiba ya Chadema ina kipengere kinachohusu kuomba msaada wa kimaamuzi Kanisani au Msikitini? Hiyo Ndio Hoja

CCM ya kwao wameyamaliza Wao Wenyewe

Nawatakia Dominica NJEMA 🌹
Kabla ya kuandika ungechunguza kwanza upajue hapo kanisa Katoliki Msimbazi pakoje, kukusaidia hapo si kanisa tu, mpaka makaburi yapo na biashara za kila aina zipo pia kuna kumbi za mikutano, harusi na sehemu za kulala wageni.
Wao hawakutumia kanisa ila walitumia ukumbi na huyo mpatanishi siyo padri katika nafasi yake.
 
Kabla ya kuandika ungechunguza kwanza upajue hapo kanisa Katoliki Msimbazi pakoje, kukusaidia hapo si kanisa tu, mpaka makaburi yapo na biashara za kila aina zipo pia kuna kumbi za mikutano, harusi na sehemu za kulala wageni.
Wao hawakutumia kanisa ila walitumia ukumbi na huyo mpatanishi siyo padri katika nafasi yake.
Uko nyuma ya muda sana 😀
 
Badala ya kuhoji maamuzi halali na ya Kikatiba ya CCM nadhani Watu wangehoji kama ni halali Kanisa kufanya maamuzi Kwa niaba ya Chadema

Imethibitika aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na makamu wake Mh Tundu Lisu walipelekwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na katibu mkuu Mh John Mnyika Ili wafanyiwe upatanisho wa Nafasi za Uongozi walizokuwa wanabishania

Je, Katiba ya Chadema ina kipengere kinachohusu kuomba msaada wa kimaamuzi Kanisani au Msikitini? Hiyo Ndio Hoja

CCM ya kwao wameyamaliza Wao Wenyewe

Nawatakia Dominica NJEMA 🌹
Punguza upuuzi wewe
 
Mada ni "Kwanini walipelekwa kanisani kuamuliwa".
Jibu langu hawakupelekwa kanisani kusmuliwa bali lilitumika eneo la kanisa na si ndani ya kanisa.
Kama wewe ni GT utanielewa.
Halikutumika eneo kikao kilifanyika ofisini Kwa Paroko Jirani na pale alipokuwa akiishi Rose Mhando 😂😂😂

Sio tu napajua bali nimeishi sana Msimbazi center 😂
 
Badala ya kuhoji maamuzi halali na ya Kikatiba ya CCM nadhani Watu wangehoji kama ni halali Kanisa kufanya maamuzi Kwa niaba ya Chadema

Imethibitika aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na makamu wake Mh Tundu Lisu walipelekwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na katibu mkuu Mh John Mnyika Ili wafanyiwe upatanisho wa Nafasi za Uongozi walizokuwa wanabishania

Je, Katiba ya Chadema ina kipengere kinachohusu kuomba msaada wa kimaamuzi Kanisani au Msikitini? Hiyo Ndio Hoja

CCM ya kwao wameyamaliza Wao Wenyewe

Nawatakia Dominica NJEMA 🌹
Inaelekea akili zako hazina akili, hivi mpaka Leo hujui kazi ya viongozi wa dini ni kupatanisha? Kuhakikisha amani wakati wote? Ama hakika nyani haoni kundule
 
Badala ya kuhoji maamuzi halali na ya Kikatiba ya CCM nadhani Watu wangehoji kama ni halali Kanisa kufanya maamuzi Kwa niaba ya Chadema

Imethibitika aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na makamu wake Mh Tundu Lisu walipelekwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na katibu mkuu Mh John Mnyika Ili wafanyiwe upatanisho wa Nafasi za Uongozi walizokuwa wanabishania

Je, Katiba ya Chadema ina kipengere kinachohusu kuomba msaada wa kimaamuzi Kanisani au Msikitini? Hiyo Ndio Hoja

CCM ya kwao wameyamaliza Wao Wenyewe

Nawatakia Dominica NJEMA 🌹
Ina maana hujui kuwa kuwapatanisha watu wanaogombana ni kazi ya kitume? Kwani Lissu na Mbowe ndiyo viongozi wa kwanza kusuluhishwa na viongozi wa Kidini?
 
Badala ya kuhoji maamuzi halali na ya Kikatiba ya CCM nadhani Watu wangehoji kama ni halali Kanisa kufanya maamuzi Kwa niaba ya Chadema

Imethibitika aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na makamu wake Mh Tundu Lisu walipelekwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na katibu mkuu Mh John Mnyika Ili wafanyiwe upatanisho wa Nafasi za Uongozi walizokuwa wanabishania

Je, Katiba ya Chadema ina kipengere kinachohusu kuomba msaada wa kimaamuzi Kanisani au Msikitini? Hiyo Ndio Hoja

CCM ya kwao wameyamaliza Wao Wenyewe

Nawatakia Dominica NJEMA 🌹
Akili za kijani hizi.
 
Azimio la Kimbisa ilikuwa maelekezo ya Rais Samia na ni ubakaji wa demokrasia wa kiwango cha juu!
 
Badala ya kuhoji maamuzi halali na ya Kikatiba ya CCM nadhani Watu wangehoji kama ni halali Kanisa kufanya maamuzi Kwa niaba ya Chadema

Imethibitika aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na makamu wake Mh Tundu Lisu walipelekwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na katibu mkuu Mh John Mnyika Ili wafanyiwe upatanisho wa Nafasi za Uongozi walizokuwa wanabishania

Je, Katiba ya Chadema ina kipengere kinachohusu kuomba msaada wa kimaamuzi Kanisani au Msikitini? Hiyo Ndio Hoja

CCM ya kwao wameyamaliza Wao Wenyewe

Nawatakia Dominica NJEMA 🌹
Hujui dunia na punguza kamdomo ,uchaguzi umeisha
 
Badala ya kuhoji maamuzi halali na ya Kikatiba ya CCM nadhani Watu wangehoji kama ni halali Kanisa kufanya maamuzi Kwa niaba ya Chadema

Imethibitika aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mh Freeman Mbowe na makamu wake Mh Tundu Lisu walipelekwa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na katibu mkuu Mh John Mnyika Ili wafanyiwe upatanisho wa Nafasi za Uongozi walizokuwa wanabishania

Je, Katiba ya Chadema ina kipengere kinachohusu kuomba msaada wa kimaamuzi Kanisani au Msikitini? Hiyo Ndio Hoja

CCM ya kwao wameyamaliza Wao Wenyewe

Nawatakia Dominica NJEMA 🌹
Takataka
 
Back
Top Bottom