(Ile hela tuma kwenye hii)
Halafu kuna wale wa Mzee Hashimu mtaalamu wa Tiba za asili na kusafisha nyota.
Ukikaa vbaya kuna wale(Umeshinda Million 6 kutoka Halotel) kabla ujatulia wanakuja (Mwanao amelazwa shuleni tuma hela kwenye namba hii).
Kwa kifupi mamlaka husika imefeli TCRA ikishirikiana na TANPOL ili swala mmeshindwa kabsa kutatua? Kila siku mnawakamat na hatusikii hukumu Naskia Mawakala wanauza izo namba na pia uwepo kwenye makundi ya whatsapp kiukweli inakera.