Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Nimeliona bandiko la ndugu yetu Mwigulu Nchemba, ambaye hajawahi kutoa tamko lolote kuhusu watu wanavyotekwa na kupotezwa, labda kwa sababu sio wanachama wao au ndugu zao. Hali hii inaonyesha ulevi wa kupindukia wa madaraka. Jana, baada ya watu wao kuguswa kidogo, amekurupuka kutoa matamko.
Swali ni, lini TRA hukamata magari kwa kuyakimbiza barabarani? Na kuhusu gari lenye namba "D," limekuwaje hadi leo halijakamatwa? Kwa nini msiwatumie trafiki kukamata gari hilo, ilihali mnazo namba zake? Pia, gari hilo lilitokaje bandarini na namba za usajili zilitolewa vipi?
Ni vyema kuacha kutetea wauaji na kuwavisha mavazi ya wafanyakazi wenu. Nasema tena, hawa wameguswa kidogo sana.
Swali ni, lini TRA hukamata magari kwa kuyakimbiza barabarani? Na kuhusu gari lenye namba "D," limekuwaje hadi leo halijakamatwa? Kwa nini msiwatumie trafiki kukamata gari hilo, ilihali mnazo namba zake? Pia, gari hilo lilitokaje bandarini na namba za usajili zilitolewa vipi?
Ni vyema kuacha kutetea wauaji na kuwavisha mavazi ya wafanyakazi wenu. Nasema tena, hawa wameguswa kidogo sana.