Watu wanawadanganya watu kushare na kulike picha zao kwa zawadi feki

Jbush Garigo

Member
Joined
Feb 24, 2019
Posts
33
Reaction score
22
Naomba kuuliza jamani, hivi hawa watu wanaotaka watu wa like na kushare picha zako na kuwalagai kwa zawadi ambayo ukweli hawazitoi, wana mlengo gani? Hivi wanawaona watu ni wajinga sana kwa kudanganyika na vizawadi visivyokuwa ba mbele wala nyuma.

Hasa wasanii wa kibongo. Kila wakitupia picha zako mtandaoni. Utasikia ukilike na kushare picha hii utapata zawadi ya simu. Kwani wanafikiri watu hawana simu?

Hivi ni faida gani anayopata mtu endapo picha aliyoweka mtandaoni italikiwa (liked) na kushared (shared) na watu wengi?
 
Mkuu, thread kama hizi ni bora ukazipeleka facebook. Huku hatuna muda wa kujadili madudu ya ajabu kama haya.
 
Ww kweli mshamba sana na ndio maana hata manabii fake wanawauzia juis kola wanawaambia ni damu ya Yesu na mnaamini

HIZO AKAUNT HUWA NI FAKE , unashindwa hata kung'amua hilo?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
facebook naingiaga page moja hivi ya matokeo ya mechi.

Huo ungese mwingine me nshakataa
Maninaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…