Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Kweli mkuu!Nyani na tumbili walipojua kwamba mkulima aliyewafukuza kutoka kwenye shamba la mahindi amekufa, walisherehekea kwa furaha.
Lakini mwaka uliofuata hakukuwa na mahindi tena. Hapo ndipo walipogundua kwa uchungu kwamba mkulima waliyemdhania kuwa adui yao ndiye mkulima aliyelima mahindi.
Watu wanaweza wasielewe thamani ya matendo yako leo, lakini watatambua umuhimu wako ukishaondoka!View attachment 3254328
NaamKweli mkuu!
Yaan acha tu mkuuKuna Jamaa waliungana na mama Yao,kila siku kumshambulia Baba Yao!Alipofariki Mzee wa watu kwa stress,wakaanza kuuza magari kwa bei ya kutupa na duka kufilisika,Ndipo mzozo ulipoanza mama na watoto, watoto wanadai mama ulitupotosha ona Sasa jembe halipo tuna Hali mbaya!
Inatokea sana kwenye jamii, vile jamii hua inamuonea huruma mwanamke hata avurunde vipi. Umuhim wa baba huonekanq baadaeKuna Jamaa waliungana na mama Yao,kila siku kumshambulia Baba Yao!Alipofariki Mzee wa watu kwa stress,wakaanza kuuza magari kwa bei ya kutupa na duka kufilisika,Ndipo mzozo ulipoanza mama na watoto, watoto wanadai mama ulitupotosha ona Sasa jembe halipo tuna Hali mbaya!