C Chizy Za kitaa Senior Member Joined Jan 7, 2014 Posts 167 Reaction score 13 Jul 3, 2014 #1 Ndugu zangu naomba kufahamu vyuo vya ualmu ngazi ya chet vya private (jinsia zote)vinavyopatikana ktk mikoa ye2..ikiwezekana naomba na mawasiliano yao...
Ndugu zangu naomba kufahamu vyuo vya ualmu ngazi ya chet vya private (jinsia zote)vinavyopatikana ktk mikoa ye2..ikiwezekana naomba na mawasiliano yao...
K KILLANEKELI JF-Expert Member Joined Nov 26, 2013 Posts 295 Reaction score 121 Jul 3, 2014 #2 kuna st Agrey kipo Mbeya, alafu kuna kingine kipo Mafinga Iringa ila kinatoka diploma sijajua kama kinatoa astashahada.
kuna st Agrey kipo Mbeya, alafu kuna kingine kipo Mafinga Iringa ila kinatoka diploma sijajua kama kinatoa astashahada.
A Abel james Senior Member Joined Jun 12, 2014 Posts 103 Reaction score 8 Jul 3, 2014 #3 kingine kipo mafinga kinaitwa misso teachers training college