Watu wangu wa nguvu Sana kwa mwezi February

hahha
si bure tunamatatizo haiwezekani hadi kwenye top 60 hatumo.. itabidi mweka mada tumbebeshe zigo la ubaguzi,upendeleo n.k lzm apondwe mawe
top sixty haumoooooo
 
Hahahaaaaa

Wap... Kukosa kazi tu.

Hatua niliyopo ya kimaisha imenifanya n mm huyu namkimbia aliyekua girlfriend wangu kwan naona ananirudisha nyuma na siwez kumwambia coz ni mm huyu huyu niliishi kumsifia.

Nakosa ninachokitaka important kwa ladies.

So naishia kukaa single.
Wow, I hope unachukua somo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata usimpomsifia wewe
Watamsifia
Wanafunzi wanaofaidika na elimu bure
Familia za tembo kwa kukomesha ujangili
Wazazi ambao Watoto wao wangepotelea kwenye madawa
Wengi tu nikisema niwataje hapa sitamaliza ila hiyo sio maada ya leo
Kule kusini wanamkubali kwa kununua koroshoww zao..

Wengine huku tulikua na mpango wa kwenda Rwanda na Boeing ila tumeambiwa imevichwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…