ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
party gani?
btw sipo available kwa sasa...
daddy nahisi umesahau mwaka jana tuliongeaje na wewe
kwa hiyo niwaambie kuwa haitakuwepo au?
Oooh!!! nilidhani ishapotezewa...
Mimi sipo kwa sasa, so waambie tu hivyo hope u guys won't mind
oooh!!! Nilidhani ishapotezewa...
mimi sipo kwa sasa, so waambie tu hivyo hope u guys won't mind
Oky nadhani hukuelewa kumbe haukko nchini oky
nitawaambia usijali kila la kheri uko uliko
Ujamboo!!!
tafadhali sijataja habari ya kuwepo au kutokuwepo nchini...
Tafadhali sijataja habari ya kuwepo au kutokuwepo nchini...
Sina jambo mimi bi mkubwa...
Habari ya uzima na urembo wako?
Mpwaaa!!!!
Kwema???!!
Ohoooo sorry kwa hilo sikujua
Nashukuru mungu ni mzimaa kabisa
Kwema mpwa..habari ya kupoteana?
Kwema kaka kwangu Mungu anajaalia sana sijui kwako!!!
Basi heri mpendwa...tukutane jukwaani kwetu huku barazani sio kuzuri kupiga stori
Mbona umenichomesha maindi