Watu wasiojulikana wameiba sanduku lenye chatu na kulitelekeza

Watu wasiojulikana wameiba sanduku lenye chatu na kulitelekeza

mende 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
763
Reaction score
131
Wezi waliiba sanduku wakidhania kuwa kuna pesa ndani yake kumbe sivyo. Waliopofungua sanduku hilo, walikutana na #Chatu mkubwa sana na hatimaye walikimbia na kutelitelekeza hilo sanduku. Huyo joka alikuwa yuko hai na akauwawa na watu. Source ITV.
---
Wakazi wa sinza uzuri jijini Dar es salaam wamepigwa na butwaa baada ya kuona nyoka aina ya chatu anayedaiwa kutupwa katika daraja,baada ya kusemekana kuwa kuna watu walioiba sanduku wakidhani lina fedha ndani yake na walipofungua wakakutana na joka aina ya chatu ndani yake na kutelekeza sanduku hilo na kukimbia kusiko julikana

PIA SOMA
- Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana

~ Matukio ya Watu kupotea na wengine kudaiwa kutekwa, nini kinaendelea kuhusu usalama wa raia

- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
 
Last edited by a moderator:
Wezi waliiba sanduku wakidhania kuwa kuna pesa ndani yake kumbe sivyo. Waliopofungua sanduku hilo, walikutana na #Chatu mkubwa sana na hatimaye walikimbia na kutelitelekeza hilo sanduku. Huyo joka alikuwa yuko hai na akauwawa na watu. Source ITV.


Usishangae kusikia hakuwa chatu, huenda mwenye sanduku lake alifanya dawa ndipo yakatokea yalotokea.

Je hawajasema ni mji gani limetokea hilo tukio? Sumbawanga? Mwanza?......
 
Wezi ni wa ajabu sana. Imewahi kutokea baba na mwana kuiba mavi wakdhania kuwa ni mali. Walilofika ndani na kugundua kuwa nj mavi wakaanza kurushiana mzigo wa nani akatupe baada ya mke kusara kuwa wameleta mabinti.
 
Ayaaa!fursa hiyo wangewaona wachina wangejipoza
 
Enzi za uhujumu uchumi,walivamia tajiri mmoja nyumbani kwake wakakuta mikeka nyumba nzima. Sumbawanga noma.
 
Wakazi wa sinza uzuri jijini Dar es salaam wamepigwa na butwaa baada ya kuona nyoka aina ya chatu anayedaiwa kutupwa katika daraja,baada ya kusemekana kuwa kuna watu walioiba sanduku wakidhani lina fedha ndani yake na walipofungua wakakutana na joka aina ya chatu ndani yake na kutelekeza sanduku hilo na kukimbia kusiko julikana


Chanzo;ITV
 

Attachments

  • chatu itv.png
    chatu itv.png
    131.2 KB · Views: 281
Last edited by a moderator:
hivi si kulikuwa na adithi kama hili katika vitabu vya primary enzi zile ? Dah very interesting book.
 
Wezi waliiba sanduku wakidhania kuwa kuna pesa ndani yake kumbe sivyo. Waliopofungua sanduku hilo, walikutana na #Chatu mkubwa sana na hatimaye walikimbia na kutelitelekeza hilo sanduku. Huyo joka alikuwa yuko hai na akauwawa na watu. Source ITV.



Ingekuwa vizuri huyo chatu akawameza hao wezi ndio wangekoma
 
Back
Top Bottom