Story za nguate
Member
- Mar 20, 2022
- 27
- 46
Kwani kiranja mkuu alikuwa nani?Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?
Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:
~ Mauaji ya Kibiti.
~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.
Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.
Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?
Mada mezani.
Kuna two types za hawa watu, kuna watu wasiojulikana na 'wasiojulikana'!, unawazungumzia wepi?, Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikanaNi kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?
Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:
~ Mauaji ya Kibiti.
~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.
Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.
Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?
Mada mezani.
Au labda wapo likizo tu ! Wekeni akiba ya Maneno !!Season yao ilishapita na wameliwa na karma
Siri SiriniKuna two types za hawa watu, kuna watu wasiojulikana na 'wasiojulikana'!, unawazungumzia wepi?, Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
P
Tangu zamani walikuwepo !!Siri Sirini
Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?
Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:
~ Mauaji ya Kibiti.
~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.
Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.
Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?
Mada mezani.
Zama hizo hazirudi watu wataponda kichwa, huwezi ukapambana na watu wote ukawashinda njia salama ni kuepuka kujenga uadui na watu. Yaani uwashinde mabeberu, wanamaombi, wachawi, freemason, karma, dua, albadili wakati huna MUNGU wewe nani.Au labda wapo likizo tu ! Wekeni akiba ya Maneno !!
Ukweli ndiyo huo.Zama hizo hazirudi watu wataponda kichwa, huwezi ukapambana na watu wote ukawashinda njia salama ni kuepuka kujenga uadui na watu. Yaani uwashinde mabeberu, wanamaombi, wachawi, freemason, karma, dua, albadili wakati huna MUNGU wewe nani.
Kuuund lilipewa carz maalumu kuchafua Siri Kali ya Pombe kwa kufanya mauag ya sili pia walianzisha wanaharakat wa ndani na nje ya aridh wadanganyika Ili kuaminisha jamii kuwa siricarli inauwa watu ivi fikiria kwa viroba vilivyo kuwa vinasemwa hatukuwahi sikia mtz yoyote akisema ndg zake wamepoteaNi kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?
Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:
~ Mauaji ya Kibiti.
~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.
Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.
Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?
Mada mezani.
Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?
Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:
~ Mauaji ya Kibiti.
~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.
Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.
Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?
Mada mezani.
Hao si watu wasiojulikana.ni magaidi wakisaidiwa na imani fulani kutoka iran.
Walianzia kenya wakaona kuja huku waliposhindwa wapo mozambique.
nenda kalipe kule telegram usome vizuri story ya buyombe
Kwa hiyo JPM alikuwa Rais dhaifu sana kukubali makundi ya kuhujumu utawala wake.Kuuund lilipewa carz maalumu kuchafua Siri Kali ya Pombe kwa kufanya mauag ya sili pia walianzisha wanaharakat wa ndani na nje ya aridh wadanganyika Ili kuaminisha jamii kuwa siricarli inauwa watu ivi fikiria kwa viroba vilivyo kuwa vinasemwa hatukuwahi sikia mtz yoyote akisema ndg zake wamepotea
Mipango Yao ilikuwa kama ifuatavyo
1.uwepo wa tasisi ya kigogo wahusika wake baadhi walikuwa karibu na rahisi wa awamu five
2.pia akina zto waliwezeshwa kusafiri kwa ajili ya kumsiriba jpm
3.mpango wa ukuta ulilatibiwa Ili kuleta sitofahamu kwa nchi ya wadanganyika ndo maana mratibu wa mapindz hayo alifurahi sana alipomuona mwezeshaji wake adi akafanya [emoji1702] nae huko ugaibuni
Watu wasiojulikanaNi kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?
Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:
~ Mauaji ya Kibiti.
~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.
Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.
Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?
Mada mezani.
IBRA wa PILI kuna swali lako huku kuhusu John NgweruSwali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana